tag:blogger.com,1999:blog-22826508645705240672024-03-13T02:00:22.148+03:00Jesus VisionAnonymoushttp://www.blogger.com/profile/05289515842269379966noreply@blogger.comBlogger535125tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-69765642781818988922014-03-13T01:36:00.003+03:002014-03-13T01:44:33.353+03:00Mchungaji wa Kanisa afumaniwa na mke wa mtu <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<span style="font-family: Times,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjvoQXgQrdhoQRmta__dsT8xt6fyAjljtDjGHUsFGYyjBNwHqHfzhESl17NadFk9D4GumgF10JEYajd17WFFNr2Bx3SlWSLbNdbZSjmCqg_mARnoqQsdJcZHleolXTm2AE68sr8HUXeFlTo/s640/mchungaji.png" height="514" width="640" /></span></span></div>
<span style="font-family: Times,"Times New Roman",serif;"><span style="font-size: small;">
TOFAUTI na inavyoaminika na wengi
kuwa watumishi wa Mungu ni watu safi, safari hii Mchungaji Obed Ntimba
wa Kanisa la Anglikana Gongo la Mboto, Dar es Salaam amejikuta akivunja
agano la Muumba baada ya kunaswa gesti akiwa na mke wa mtu.<br />
<br />
Tukio hilo la aibu lilimkuta
mchungaji huyo Ijumaa iliyopita saa saba na nusu za mchana katika gesti
moja (jina lipo) iliyopo nyuma ya Jengo la Ubungo Plaza jijini Dar.<br />
<br />
Siku moja kabla ya tukio, makachero
wetu walitonywa kuhusu dhambi hiyo na mtu wa karibu na watu hao akisema
kuwa anaumia kwa sababu mchungaji huyo ana mke na watoto na mwanamke
huyo, Rose ni mke wa mwanajeshi kwa hiyo aliamini tendo wanalotaka
kulifanya ni uovu katika jamii.<br />
<br />
Mtoa habari wetu huyo alisema tukio
hilo lilipangwa kukamilika kesho yake Ijumaa katika gesti hiyo ndipo
kazi ya kuwafuatilia hatua moja baada ya nyingine ilianza.<br />
<br />
Ijumaa saa sita mchana, mtonyaji wetu
alipiga simu na kuweka wazi kwamba wawili hao wapo njiani kuelekea
gesti, kila mmoja kwa usafiri wake.<br />
<br />
Ndipo makachero wetu walipowatonya
polisi na kuambatana nao mpaka kwenye gesti hiyo na kujipanga kwa mbinu
za kisasa za kutoonwa na ‘adui’.<br />
<br />
Makachero hao walifanikiwa kupata
ramani ya chumba walichoingia wawili hao ambapo ‘rumu’ namba 1B ndiyo
iliwasilishwa kwamba Rose na mchungaji wake wamo humo.<br />
<br />
Saa saba na nusu mchana, Makachero
wetu na polisi waliingia hadi mapokezi ya gesti hiyo kwa kificho na
kutoa maelekezo kwa mhudumu. Mhudumu aliongozana nao hadi mlangoni na
kugonga lakini haukufunguliwa.<br />
<br />
BAADA YA DAKIKA TANO<br />
Wakati mlango huo ukigongwa na mhudumu bila kufunguliwa, mchungaji huyo alisikika akisema na kuuliza:<br />
“Subirini kwanza.”<br />
“Lakini ninyi ni akina nani?”<br />
<br />
Baada ya dakika tano kupita, mlango
ulifunguliwa, mchungaji akakutana na macho ya timu nzima. Alipigwa
butwaa asijue la kufanya huku akitetemeka, Rose alikuwa ndani ya khanga
moja!<br />
<br />
MCHUNGAJI MSOBEMSOBE HADI POLISI<br />
Polisi waliwabeba msobemsobe wote hadi Kituo cha Polisi cha Urafiki-Ubungo, Dar ambapo kila mmoja alianza kujieleza.<br />
<br />
MCHUNGAJI APANGULIA HUDUMA YA KIROHO<br />
Kituoni hapo, Mchungaji Ntimba
alipobanwa kuhusu sababu za kuingia gesti na mke wa mtu, alisema
waliingia kwa ajili ya huduma ya kiroho kwani mwanamke huyo alikuwa
anataka kufungua kanisa ndipo alipomuomba yeye amsaidie.<br />
<br />
“Mimi sikuwa na lengo baya jamani.
Huyu dada alihitaji kufungua kanisa, akaniambia ili nimshauri hawezi
kukaa sehemu ya wazi kwa kuwa mume wake ni mwanajeshi anaweza kuonekana
na watu wakampa taarifa.<br />
<br />
“Ndipo nikaamua kwenda naye katika
nyumba ile ya kulala wageni kwani wageni wengi wanaokuja kwa ajili ya
huduma, wakitokea nchi mbalimbali huwa wanalala pale na wahusika wa pale
wananifahamu sana.<br />
<br />
“Baada ya kuingia gesti nilibanwa na
haja ndogo, nikaenda kujisaidia. Cha kushangaza niliporudi nilimkuta
huyu dada amevua nguo zote na kuanza kunishawishi lakini sikuwa na lengo
hilo jamani,” alijitetea mchungaji huyo.<br />
<br />
Baadhi ya picha zilizopo
zinamuonesha mchungaji huyo akiwa amevaa suruali lakini amesahau
kufunga zipu huku kondom zikiwa pembeni kitandani!<br />
<br />
MSIKIE MKE WA MTU SASA<br />
Baada ya mchungaji kutoa maelezo
yake, mke wa mtu naye alianza kutiririka ya kwake huku akionesha
ushahidi wa meseji za simu ambazo mchungaji huyo alikuwa akimtumia
akimshawishi kumpa penzi.<br />
<br />
“Huyu mchungaji nilikwenda kwake kwa
lengo la kufanya kazi kanisani lakini kuanzia hapo amekuwa
akinishawishi kuwa anataka nimpe penzi ili aweze kuniweka katika sehemu
nzuri kanisani.<br />
<br />
“Nilikuwa nakataa, lakini akasema
tukutane pale gesti tuongee zaidi. Nilikataa kukutana gesti, akaniambia
pale ni ofisini, mara nyingi akiwa anaongea na waumini mambo muhimu ya
huduma ya kiroho huwa anakutana nao pale.<br />
<br />
“Nikakubali lakini kabla hata
hatujaongea chochote alianza kuvua nguo zake na kuanza kunilazimisha
tufanye mapenzi huku akiwa na ‘kinga’ kabisa na mimi nikavua nguo lakini
kabla hajatimiza lengo lake ndipo wakaingia watu wakiwa na askari.<br />
<br />
“Mimi nashukuru sana kwa sababu hawa
ndiyo wameniokoa. Nilikuwa nikisikia habari za huyu mchungaji kuwa ana
tabia ya kuwafanyia wasichana wengi vitendo hivyo na kweli leo ndiyo
nimeamini,” alieleza mwanamke huyo.<br />
<br />
Katibu wa kanisa hilo (jina
halikupatikana mara moja) alimuombea msamaha mchungaji kwa waandishi
huku akionesha kuumizwa na kitendo hicho baada ya kuoneshwa ushahidi na
kukiri kwamba una ukweli tofauti na alivyokuwa akifikiria awali kabla ya
kuachiwa kwa dhamana</span></span>Anonymoushttp://www.blogger.com/profile/05289515842269379966noreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-68074407391210112572014-02-24T10:35:00.003+03:002014-02-24T10:35:55.977+03:00Mdau wa Blog lutenant Albert Monyo apata jiko<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrn0NWCGUDHbpHtv4hSaF5JtVhkaQyzJ_3J_FYXGwtZfzuOvOkzELsmdM8Q24nDT72za_GoJCDmkH_PjaTO2hyYUnfxZnvf8CvUqaHQhC4YJKM2na94B1FHzjctXznoeMCv5XJgqZFBkc/s1600/A.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgrn0NWCGUDHbpHtv4hSaF5JtVhkaQyzJ_3J_FYXGwtZfzuOvOkzELsmdM8Q24nDT72za_GoJCDmkH_PjaTO2hyYUnfxZnvf8CvUqaHQhC4YJKM2na94B1FHzjctXznoeMCv5XJgqZFBkc/s1600/A.jpg" height="476" width="640" /></a> <br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUnJPSEjLPl1TO_v5EQAsqLIsO4rJ_cjubOOwra285olFDXy3xUbA5PpWtMArRGqAxS7iKUpEMkgse7snM1vTW7WXvEfOCifkJCIH3QT7TQojfVgEorhr8sBgNyPEz9DbX6gBmyDMRIhc/s1600/photo.JPG" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUnJPSEjLPl1TO_v5EQAsqLIsO4rJ_cjubOOwra285olFDXy3xUbA5PpWtMArRGqAxS7iKUpEMkgse7snM1vTW7WXvEfOCifkJCIH3QT7TQojfVgEorhr8sBgNyPEz9DbX6gBmyDMRIhc/s1600/photo.JPG" height="478" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"></td></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjLDYLkAUtbo-XaMky61XoKJMvQu4cGXB1FJxa-dFOw3nX15rXbu5Dv5y4l_2sAh4xhnjxyxELb-5h1ZzOii_4yy761uoyv6qiv0_rfuUQDFs-cFkf3mMb1-112HpCyVflWzk0vRM6l9s/s1600/D.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjjLDYLkAUtbo-XaMky61XoKJMvQu4cGXB1FJxa-dFOw3nX15rXbu5Dv5y4l_2sAh4xhnjxyxELb-5h1ZzOii_4yy761uoyv6qiv0_rfuUQDFs-cFkf3mMb1-112HpCyVflWzk0vRM6l9s/s1600/D.jpg" height="478" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7HVf-4XP-VNX76LCDYllPNfxDZB-bhJVMASe4dZ4-a602HCQdTWdt6PTOflUuA0h9hqmkWlqXhh-sdgHFtbnzc0GkF7vN2QDNTnhyphenhyphenCz4MS-BihQKdVJyuVnEa_1olKtqwjZthb-Zj-U0/s1600/B.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7HVf-4XP-VNX76LCDYllPNfxDZB-bhJVMASe4dZ4-a602HCQdTWdt6PTOflUuA0h9hqmkWlqXhh-sdgHFtbnzc0GkF7vN2QDNTnhyphenhyphenCz4MS-BihQKdVJyuVnEa_1olKtqwjZthb-Zj-U0/s1600/B.jpg" height="476" width="640" /></a></td></tr>
<tr></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihjxLCq2TOFdqZmctGk_jUEpQSpmRz-bXl0MjfJfyBcSCsRlZ4iiEC1JFYnU59WKN0byQlUdHSDCazP7Llw74zXYWIcDkED8lb0kDZijv_FWER2vL3ZJaNQ3GJ4uJ0Pb_S4jweJu-wJlU/s1600/photo(2).JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihjxLCq2TOFdqZmctGk_jUEpQSpmRz-bXl0MjfJfyBcSCsRlZ4iiEC1JFYnU59WKN0byQlUdHSDCazP7Llw74zXYWIcDkED8lb0kDZijv_FWER2vL3ZJaNQ3GJ4uJ0Pb_S4jweJu-wJlU/s1600/photo(2).JPG" height="478" width="640" /></a></div>
<span id="goog_869484156"></span><span id="goog_869484157"></span><br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdZnRbPmF-x2XGflwlUXiwwrApeS3q9f9pxPVK0wbSu-v2HNUWMgkyokOsKklfPKTt8l3ljBik6qeCnVodCfAsRFYU7qoWSCL2SSx7dDOeJa4u2htUDwt3JvZ3Pmz05qGHCGks5sWgnvs/s1600/photo(3).JPG" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhdZnRbPmF-x2XGflwlUXiwwrApeS3q9f9pxPVK0wbSu-v2HNUWMgkyokOsKklfPKTt8l3ljBik6qeCnVodCfAsRFYU7qoWSCL2SSx7dDOeJa4u2htUDwt3JvZ3Pmz05qGHCGks5sWgnvs/s1600/photo(3).JPG" height="478" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAdUMCwZlhWFetBuuCGGhRl0e4Nsw6C9kcMHzZgGAOExVvJQw6mQJRMCOrt_b52CIzP7XkmMqUBbp5n2ApRuSsWb4KYwiD8bWzadyZCMu_3PbEV7pdT8JIOymEj2naaYs51jm52smiHyU/s1600/photo+5.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAdUMCwZlhWFetBuuCGGhRl0e4Nsw6C9kcMHzZgGAOExVvJQw6mQJRMCOrt_b52CIzP7XkmMqUBbp5n2ApRuSsWb4KYwiD8bWzadyZCMu_3PbEV7pdT8JIOymEj2naaYs51jm52smiHyU/s1600/photo+5.JPG" height="480" width="640" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiUnJPSEjLPl1TO_v5EQAsqLIsO4rJ_cjubOOwra285olFDXy3xUbA5PpWtMArRGqAxS7iKUpEMkgse7snM1vTW7WXvEfOCifkJCIH3QT7TQojfVgEorhr8sBgNyPEz9DbX6gBmyDMRIhc/s1600/photo.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><br /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgAdUMCwZlhWFetBuuCGGhRl0e4Nsw6C9kcMHzZgGAOExVvJQw6mQJRMCOrt_b52CIzP7XkmMqUBbp5n2ApRuSsWb4KYwiD8bWzadyZCMu_3PbEV7pdT8JIOymEj2naaYs51jm52smiHyU/s1600/photo+5.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><br /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-76367235881541978162014-02-24T10:32:00.002+03:002014-02-24T10:33:40.924+03:00Kanisa lavamiwa Jijini Dar<div style="text-align: justify;">
Vitendo vya kuvamiwa kwa makanisa nchini, vimekosa mwarobaini hivyo kuvutia maadui wa ukristo kuendelea kuharibu nyumba za ibada bila hofu. Tukio la hivi karibuni, Kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG), Mbezi Kati, kuvamiwa usiku tena wakati ambao vijana walikuwa wakiendela na mkesha ni ushahidi kuwa hali inazidi kuwa mbaya badala ya suluhisho kupatikana.<br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
Mchungaji Samson Swai wa kanisa hilo, akizungumza na chazo cha habari alisema kuwa, Ijumaa flani majira ya saa saba usiku, alipigiwa simu na vijana waliokuwa katika mkesha kanisani hapo na kumjulisha kuwa palikuwa na mtu aliyefahamika (jina tunalihifadhi kwa sasa) ameliharibu kanisa kwa kubomoa milango yote.<br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
Aliongeza kuwa mara baada ya taarifa hiyo alipiga simu kituo cha Polisi Kawe, na kuwajulisha kuhusu tukio na walipofika eneo la tukio,mtuhumiwa ambaye ni mkazi wa maeneo hayo alikwisha kimbilia nyumbani kwake.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Alisema, uharibifu uliofanywa na mtu huyo majira hayo ya usiku mnene bila sababu ya msingi ni kuing'oa milango vibaya.Kwa mujibu wa Mchungaji Swai, Polisi walionyeshwa nyumba anamoishi mtuhumiwa huyo na walipofika nyumbani kwake kwa lengo la kujua sababu ya kufanya uharifu huo, hakuwafungulia mlango licha ya kumgongea kwa muda mrefu lakini jitihada hizo ziligonga mwamba, hivyo Polisi kuahidi kumfuatilia.<br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
Mchungaji Swai aliweka wazi kuwa, ikiwa Serikali haitaiangalia kati suala la uvamizi wa makanisa na kulishughulikia kwa jicho pevu; huenda vikatokea vita vya kidini, wakristo watakapochoka na matukio hayo kila kona.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Mtumishi huyo alisema baada ya kushindwa kumpata mtu huyo, Polisi waliondoka eneo hilo, na kesho yake mtu huyo aliendelea kujigamba kuwa, Jeshi la Polisi limeshindwa kumtia hatiani ili aeleze nani anamtuma kufanya uhalifu katika nyumba ya Bwana.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Mtu huyo anayehisiwa kuwa, pengine alikuwa na silaha ya moto, anadaiwa kuendelea kutamba mitaani kuwa hakuna wa kumfanyajambo lolote na ataendelea na mashambulizi yake.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Pengine Serikali isipokuwa makini na kung'oa mizizi hii, hali ya vurugu inaweza kuchukua nafasi mpya na kusababisha kutoweka kwa amani na kuifanya Tanzania yenye sifa ya kuwa 'kisiwa cha amani' kupoteza sifa hiyo ya kipekee na kuingia kwenye sintofahamu.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Chanzo chetu kilimtafuta Kamanda wa Polisi Mkoa wa kipolisi Kinondoni, Camilius Wambura, ambaye alisema kuwa, taarifa ya kuvamiwa kwa kanisa haijafika mezani kwake na kuahidi kulifuatilia, na kubainisha kibarua hicho amemwachia OCD kulifuatilia kwa karibu ili apate taarifa. </div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-44686044369027685532014-02-21T08:38:00.002+03:002014-02-21T08:38:45.892+03:00Semina ya Neno la Mungu na Mwl Christopher Mwakasege Dar es salaam.<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFSBporS4UKbUGAufM9ttWUXIvXUndh-InSHDCplLvBWbXXehpmSQqlhqjR7D2f3D7lcT_n-ueEW7J0X-Fe48Tz4B56Y5eACtVJSt4QNIRmSb9u84jUZyr1uH7ezxtCQvNNcwjKNMequ8/s1600/mwaka.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiFSBporS4UKbUGAufM9ttWUXIvXUndh-InSHDCplLvBWbXXehpmSQqlhqjR7D2f3D7lcT_n-ueEW7J0X-Fe48Tz4B56Y5eACtVJSt4QNIRmSb9u84jUZyr1uH7ezxtCQvNNcwjKNMequ8/s1600/mwaka.jpg" height="640" width="452" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-18840089692117460332014-02-21T08:35:00.003+03:002014-02-21T08:36:58.074+03:00Ikulu yawajibu Maaskofu wa Kipentekoste<div style="text-align: justify;">
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Sefue Ombeni, amepinga vikali madai yaliyotolewa na maaskofu wa Makanisa ya Kipentekoste nchini, kuwa Serikali imepuuza majina yaliyopendekezwa na makanisa hayo kwa ajili ya uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam juzi kwa niaba ya Balozi Ombeni, Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florence Turuka, alisema Serikali haikupuuzia kundi lolote lililoainishwa kwa mujibu wa Sheria ya Mabadiliko, kuwakilisha mapendekezo ya Bunge Maalum la Katiba.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Alisema walijaribu kutafuta mapendekezo ya makanisa hayo kwenye Kanzi Data ya Msingi (Primary Data Base), lakini hawakuona chochote.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
"Uchambuzi ulifanywa ili kubaini kama kulikuwa na mapendekezo kutoka Baraza kati ya mapendekezo 850 yaliyowakilishwa, lakini hakukuwa na taarifa za majina ya waliopendekezwa,"alisema Dkt. Turuka na kuongeza kuwa;</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
"Majina ya maaskofu watano walioshiriki katika utoaji taarifa kwa vyombo vya habari yalitumika ili kubaini kama wao pia walikuwa miongoni mwa waliopendekezwa."</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Alisema utafutaji huu haukubaini kuwa Baraza lilikuwa moja ya taasisi zilizowasilisha maombi. Alisisitiza kuwa hakukuwa na jina hata moja la viongozi wa Bara walioitisha mkutano na vyombo vya habari kutoa taarifa za kulalamikia uteuzi wa wajumbe kutoka Baraza hilo kwa madai kuwa wametengwa.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Mbali na hilo, alisema kuwa juhudi za Serikali zilijielekeza kutafuta endapo kulikuwa na mapendekezo ya kundi hilo. "Hata hivyo utafutaji haukubaini majina ya viongozi hao kuwepo katika orodha hiyo,"alisisitiza Dkt. Turuka.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Kwa mujibu wa Dkt. Turuka, kulikuwa na uwezekano pia Baraza liliwasilisha mapendekezo ambayo yalifika kwa Katibu Mkuu Kiongozi nje ya muda uliopangwa kisheria wa Januari 2, mwaka huu.<br />
Alisema uchambuzi wa mapendekezo 52 ambayo yaliwasilishwa nje ya muda haukubaini kuwepo kwa mapendekezo kutoka kwa Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste Tanzania. Alisema juhudi za Serikali katika kufuatilia uwepo wa mapendekezo kutoka Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste Tanzania hazikuweza kuthibitisha kuwa Baraza lilituma mapendekezo yake kama ilivyokuwa imeagizwa na Sheria ya Mabadiliko ya Katiba.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Kwa msingi huo, alisema tamko la Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste kudai kuwa wamebaguliwa halina ukweli, kwani uchunguzi waliofanya haujathibitisha kuwa Baraza lilipeleka mapendekezo.<br />
"Ni vyema Baraza likafanyia kazi kwa nini kama kulikuwa na mapendekezo hayakufikishwa kwa Katibu Mkuu Kiongozi (Dar es Salaam) au Katibu Mkuu Kiongozi (Zanzibar)...tunaamini kabisa kama mapendekezo hayo yangekuwa yamewasilishwa, Rais angechagua mwakilishi kutokana na mapendekezo hayo," alisema.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Alisema Baraza hilo kutokuwa na wawakilishi, lakini litawakilishwa vyema na wajumbe walioteuliwa. Hivi karibuni maaskofu watano wa Makanisa ya Kipentekoste waliitisha mkutano wa waandishi wa habari wakilalamikia mjumbe wao kutopata uwakilishi katika Bunge hilo la Katiba ambalo limeanza juzi.<br />
<br />
<span style="font-size: small;"><i><b>source Majira</b></i></span></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-56828338386758944012014-02-19T19:49:00.002+03:002014-02-19T20:07:18.064+03:00Mapadre wa Tanzania matatani<div style="text-align: justify;">
Wakati Umoja wa Mataifa (UN), ukilikalia kooni Kanisa Katoliki kwa kile ulichodai kuwa halijafanya bidii kuwashughulikia makasisi wake wanaotuhumiwa kwa kashfa ya kudhulumu watoto kingono, imebainika kuwa makasisi wawili wa Tanzania waliotuhumiwa kupokea misaada kutoka kundi la kishetani la Freemasons wametimuliwa bila huruma.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Wiki iliyopita, ripoti ya Umoja wa mataifa ilitolewa hadharani ikiyalaumu makao makuu ya Kanisa Katoliki Vatican, kwa kupuuzia au kuwalinda makasisi wake wenye kashfa ya kudhulumu watoto kingono, likataka hatua za haraka kuchukuliwa ikiwa ni pamoja na kufichuliwa kwa mafaili yenye kashfa hiyo.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Wakati hali ikiwa hivyo, chanzo cha habari hii kililifanya mahojiano na mmoja wa wataalamu wa Kanisa hilo (Kasisi mashuhuri) ambaye alinza kwa kusema:<br />
“Umoja wa mataifa hauwezi kulazimisha mabadiliko yoyote ndani ya Kanisa Katoliki, ni kweli kuwa kashfa hizi zipo, lakini haziwezi kulifanya kanisa libadili kanuni zake, likifanya hivyo litakuwa sio kanisa tena.”<br />
<br />
Kisha aliongeza: “Kanisa Katoliki haliwezi kuongozwa na UN, linasheria zake kali, ni kwa sababu tu watu hawajui, mfumo wake wa ndani ni mkali na hauchukuliani na uovu, kuna makasisi wawili wametimuliwa nchini kwa kutuhumiwa kupokea pesa na misaada kutoka kundi la Freemasons.”</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Akiongea kwa kujiamini Kasisi huyo, alisema makasisi waliotimuliwa ni kutoka Wilaya ya Same na Arusha na mwingine wa Mwanza alienda baa na baada ya kulewa alizua tafrani na kupigana, na kutokana na hali hiyo kanisa limeshamfukuza mara moja.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
“Nakuambia Askofu wa Jimbo la Mwanza alipopata habari hizo alitoka na barua mkononi na kwenda moja kwa moja hadi nyumbani kwake na kumsimamisha kazi. Huu ni ushahidi kuwa kanisa letu lipo makini, ingawa wengi wenu hamjui,” alisema mtoa habari wetu.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Akifafanua kuhusu tukio la kutimuliwa kwa makasisi waliopokea misaada ya kundi la Freemasons, alisema kuwa, zamani makanisa ya Katoliki yalikuwa yakipokea msaada kutoka Vatican, lakini utaratibu huo haupo kwa wakati huu na makanisa yanajitegemea kwa kuanzisha miradi yao, na hapo ndipo wengine walipopokea fedha kutoka kwenye makundi kama Freemasons.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Alisema kuwa baada ya kanisa kubaini taarifa hizo lilichunguza na kuwabaini mapadre kutoka Arusha na Same, kisha kuwasimamisha kazi wakisubiri uamuzi mgumu kutoka kwa Papa huko vatikani.<br />
Kulingana na Taratibu za Kanisa Katoliki Padre anaweza kusimamishwa kazi na Askofu wake kwa mujibu wa taratibu na sheria za ndani ya kanisa (Canon Law) lakini hawezi kuvuliwa upadri kwani mwenye mamlaka hayo ni Baba Mtakatifu yaani Papa aliyeko madarakani.<br />
Kisha chanzo cha habari yetu kiliendelea:</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
“Mfano miongoni mwa hoja nne za Umoja wa mataifa ni ukali wa wasimamizi wa shule za Katoliki, na ni kweli shule zina misimamo mikali sana. Kanisa limekataa kukubali kusikia kutoka nje kwa kuwa litapoteza ubora wa mafundisho yake, alisema na kuongeza:</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
“Unajua hapa kuna shinikizo la kuwataka mapadre waoe, lakini, si rahisi kukubalika. Misimamo ya mapadre imegawanyika kati ya Mashariki na Magharibi, mapadre wa Mashariki katika mataifa kama ya Urusi na Ukraine kabla ya kusimikwa wanaulizwa iwapo wanataka kuoa au laa, lakini wa Magharibi wanashikilia msimamo wa kutooa na hao ndio ninaowaunga mkono.”</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
“Ukiwa Padre ni lazima ujikane na ujitoe sadaka; sasa ukiwa na mke na familia si lazima utaipendelea kuliko wito wa kazi ya Mungu? Mimi kama kanisa litapitisha sheria ya kuoa nitaachana na ukasisi kwa kuwa sitaweza kutimiza wito wangu.”</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Hata hivyo akaonya kuwa wale wote waliowahi kula kiapo cha ukasisi, hata wakiacha kamwe hawawezi kuishi vyema na wanawake wala kupata Baraka za Mungu.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
“Angalia hata huyu Dk….(jina tunalihifadhi) aliacha upadre na kuamua kuoa lakini amekaa na mke wa pili sasa na bado hajafanikiwa hata cheo anachotaka hawezi kukipata kwa kuwa aliacha kiapo chake, na kuingia kwenye siasa,” alisema.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Alisema kuwa hata yeye amekuwa akitegwa na akina dada, lakini ameshinda majaribu kwa kuwa muwazi kutangaza hadharani wale wanaomjaribu ikiwa ni pamoja na kuwataja mimbarani.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, Bi. Kirsten Sandberg, kiongozi wa kamati ya Umoja wa Mataifa ya kutetea haki za watoto (CRC) alionya kuwa ukimya wa Vatican kuhusu matukio ya kunyanyaswa watoto kingono ni hatari na lazima uvunjwe mara moja, wahusika watolewe ndani ya wigo mzito wa Roma na kuachiwa vyombo vya sheria.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Kisha aliongeza: “UN inaitaka Vatican kuwaondoa kwa haraka makasisi wote waliowahi kupata kashfa ya ngono na kashfa zote zinazojulikana lazima zichukuliwe hatua haraka.”</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Taasisi hiyo inayochunguza haki za watoto iliitaka mamlaka ya kiti kitakatifu cha Roma “Holy See” kubadili sera zake ambazo zinaonekana kuwa kichocheo cha makasisi wake kumalizia haja zao za kingono kwa watoto.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
“UN inaitaka Vatican kubadili msimamo wake mkali kuhusu utoaji wa mimba, matumizi ya vidonge au mbinu za kuzuia mimba ambayo imepitwa na wakati na haiwezi kutekelezeka katika nyakati hizi.<br />
Vaticani katika majibu yake ilisema kuwa itaichunguza ripoti yenyewe pamoja na waandaaji wake kabla ya kutoa msimamo wake. Hata hivyo kundi la makasisi waliosaidia kufichua vitendo hivyo Marekani limeikaribisha ripoti hiyo kwa mikono miwili. Wakati Vaticani ikidai kuchunguza riporti hiyo tayari baadhi ya yale yaliyotajwa na Umoja wa mataifa imeshayatupilia mbali ikisema ni maovu na yasiyopaswa kujadiliwa na kanisa hilo kulingana na utamaduni wake.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />
Wachambuzi wanasema kuwa kwa kawaida kanisa hushikilia sheria zake zijulikanazo kama Canon Law, kuwa zinapaswa kutangulizwa mbele kabla ya sheria za kawaida za kijamii “criminal law” katika kushughulikia masuala yanayojitokeza ndani na ya kanisa</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-61890274025495183242014-02-19T19:41:00.001+03:002014-02-19T19:41:10.434+03:00Kutoka Kwa Pastor Carlos Kirimbai Sio kawaida yangu kuanza somo na ushuhuda ila hili nimeamua kulianza na ushuhuda kutokana na unyeti wa somo lenyewe.<br /><table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcTZcz9sOno10PqbHXIDjSYSqdnS0Dnl77MNqei3WMKyqB0Rl1NKPc15rhocd84tnFU21mg9_d5kmIAYvbGaO71RPOZUYE5aO6ISAW7eelUaHSuks6e3aNnTvJP2HdNR9NMstrDXGTPGg/s1600/Pastor+Carlos+Kirimbai.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgcTZcz9sOno10PqbHXIDjSYSqdnS0Dnl77MNqei3WMKyqB0Rl1NKPc15rhocd84tnFU21mg9_d5kmIAYvbGaO71RPOZUYE5aO6ISAW7eelUaHSuks6e3aNnTvJP2HdNR9NMstrDXGTPGg/s1600/Pastor+Carlos+Kirimbai.jpg" height="320" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b><span style="font-size: small;"><span class="irc_su" dir="ltr" style="text-align: left;">Pastor Carlos Kirimbai Manna Tabernacle Bible Church</span></span></b></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
<br />Miaka kadhaa iliyopita kuna dada mmoja ambaye nilikuwa namfahamu, alikuwa akiteswa sana na hali ya kutopata watoto. Ni jambo lilikuwa linamsumubua sana kwenye ndoa yake na alikuwa amenishirikisha na nikamwandalia kitini chenye ahadi... za Mungu juu ya kupata watoto na nikamhakikishia kuwa ahadi za Mungu zote katika Kristo Yesu ni ndiyo na amina.<br /><br />Lakini pamoja na hayo bado huyu dada akaendelea kuteswa na hiyo hali ya kutopata watoto. Ikitokea anapata uja uzito ule uja uzito unatoka ukiwa na miezi michache sana. Hii ilinisumbua sana kama Mchungaji wake maana neno la Mungu lipo wazi kuwa hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba wala aliye tasa miongoni mwa watu wa Mungu. Neno la Mungu lipo wazi kabisa kuwa watoto ni Baraka itokayo kwa Mungu na uzao wa tumbo ni thawabu Yake. Hii ilinisumbua sana maana huyu dada alikuwa ameokoka na hapakuwa na sababu yoyote ya msingi kwanini awe anateswa kwa namna hii.<br /><br />Siku moja nikiwa naliwaza hili ili nipate solution ya Kimungu juu ya tatizo la huyu dada nikasikia moyoni maneno yanayopatikana kwenye moja ya maandiko nitakayotumia katika fundisho hili: “Agano na mauti, mapatano na kuzimu.” Nilishtuka sana maana niliisikia as clear as wewe unavyoweza kusikia mimi nikisema na wewe. Nikauliza huko huko moyoni, Lakini Mungu huyu ni mtoto wako ana agano na wewe na mapatano na wewe kupitia damu ya Yesu, iweje tena awe na agano na mauti na mapatano na kuzimu? Nikasikia tena maneno hayo hayo yakijirudia. Nikajua this is serious. Nikauliza tena huko moyoni How? Nikasikia wazi wazi “BLOOD GUILTINESS.” Nikashtuka maana nilielewa sasa Mungu anasema nini. Nikauliza Mungu huyu binti kaua mtu? Jibu lilinishtusha sana. Aliniambia ameua watu sio mtu. Nikasema kwa sauti nikiwa peke yangu, “My God! Whaaaaaaaat?!!!!!!” akarudia tena, ameua watu sio mtu. Sasa hapo naongea kwa sauti ya wazi wakati Yeye Mungu ananisemesha moyoni.<br /><br />Nilikaa sakafuni chumbani kwangu nikasema, Mungu hapa sikuelewiiiii! Kaua watu gani! Akaniuliza hivi wewe hujui watu wanavyo ua na hawajioni kuwa ni shida? Nikamdaka hapo hapo. Nikaambiwa mwite muulize. Nilimtafuta huyu binti nikamwambia nahitaji kuonana na wewe. Tukapanga siku atakayokuja kuniona alipokuja sikumzunguka nikamwuliza binti embu niambie umemwua nani na umewaua wangapi maana Mungu ananiambia hupati watoto kwa kuwa wewe ni mwuaji. Alishika kichwa akasema “My God!!!” akainama huku machozi yanamtoka. Nikamwuliza binti umeshawahi kutoa mimba? Akaniambia ndiyo mchungaji. Sikutaka kumpotezea wakati maana alihitaji suluhisho la haraka kwa ajili ya uteka wake. Nikamwambia sasa mwanangu kutoa kwako mimba kumegeuza tumbo lako la uzazi badala ya kuwa chanzo cha uhai na mahali pa salama pa kumkuza mtoto, pamekuwa kiwanda cha kuulia watoto wanaoingia hapo. Tumbo lako lina agano na mauti na mapatano na kuzimu kwa sababu umekuwa ukiua watoto ambao wamekuwa wakiingia humo ndani. Akaniambia ni kweli Pastor. Nikamwambia unateswa na hatia ya damu na hilo litabidi tu livunjwe. Neno linasema tuungamiane dhambi zetu sisi kwa sisi na kuombeana tupate kupona. Hapo akawa kaungama dhambi yake. Nikamwongoza sala ya kuvunja hilo agano na mauti na mapatano na kuzimu sawasawa na ilivyofunuliwa kwenye neno. Nikaomba naye akalia sana. Akasema sasa Pastor nina amani. Nikamwambia nenda sasa kazae. Namshukuru Mungu ule uteka wa miaka ulivunjwa na sasa huyu dada na mumewe wana watoto.<br /><br />Kama umeua kwa kukusudia au kutokukusudia inawezekana unateswa na shida hii ya hatia ya damu. Inawezekana kabisa umeingia katika agano na mauti na mapatano na kuzimu ambayo yanakutesa na kuzuia au kuua vitu vyako vingi.Tutalifuatilia hili jambo kimaandiko na kuleta suluhisho la msalaba kwa tatizo hili gumu ambalo linatesa maisha ya wengi.<br /><br />Daudi alifanya kosa la kuzini na mke wa mtu akampa huyo mke wa mtu mimba alafu akafunika hilo kosa kwa kuua mumewe. Kama ambavyo sisi tunafanya uasherati au uzinzi tunampa mtu au kupewa mimba na katika jitihada za kufunika hiyo aibu tunaamua kuitoa hiyo mimba ambayo kimsingi ni kuua.<br /><br />Yai la mwanamke likishakutana na mbegu ya kiume na mimba ikatungwa Yule ni mtu katika hatua zake za awali. Hutoi bonge la damu au bonge la nyama unaua mtu na unamwaga damu usiyo na hatia.<br /><br />Daudi alipogundulika alilikwenda mbele za Mungu kwa toba lakini pamoja na toba akaomba aponywe na damu za watu.<br /><br />Zaburi 51: 14.<br /><br />14Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu,Uniponye na damu za watu,Na ulimi wangu utaiimba haki yako.<br /><br />Damu za watu zilileta shida katika maisha ya Daudi.<br /><br />Naipenda inavyosema kwenye bibilia ya kiingereza:<br /><br />“Deliver me from the guilt of bloodshed,……”<br /><br />Kimsingi anaomba akombolewe na hatia ya damu aliyoimwaga.<br /><br />Utashangaa pale awali Daudi alipotubu baada ya nabii Nathan kuja na kuiweka wazi dhambi yake, aliambiwa amesamehewa ila athari za dhambi yake hii ziliachiliwa juu yake na ndicho Daudi alichokuwa anashughulikia hapa kwenye haya maombi ya Zaburi 51.<br /><br />I Samweli 12: 10 – 14.<br /><br />10Basi, sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako, kwa sababu umenidharau, ukamtwaa mkewe Uria, Mhiti, kuwa mke wako. 11BWANA asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitawatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili. 12Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua. 13Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa. 14Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umewapa adui za BWANA nafasi kubwa ya kukufuru, mtoto atakayezaliwa kwako hakika yake atakufa.<br /><br />Pamoja na kwamba alisamehewa dhambi yake lakini kuna mauti ilifunguliwa kuingia kweye nyumba ya Daudi kupitia kitendo chake cha kuua mtu. Unapotoa mimba unaifungulia mauti kuingia katika maisha yako hususa kwenye uzazi wako. Haijalishi ni mwanaume au ni mwanamke. Ukitoa mimba au kusaidia kutoa mimba umeua au umesaidia kuua.Daudi alitamani kumjengea Mungu nyumba lakini akaambiwa hataweza kujenga kwa sababu mikono yake ilikuwa na damu. Hii roho ya mauti na kuzimu unayoifungulia maishani mwako kwa njia ya kuua itakugharimu sana. Itakunyanganya mpaka uwezo wa kujenga.<br /><br />Bahati mbaya sana sio wasioamini tu wanatoa mimba siku hizi mpaka waaminio na mbaya zaidi waliyo ndani ya ndoa. Aibu ya mama kushika mimba mapema mno baada ya mtoto kuzaliwa labda miezi michache inawafanya waitoe. Ni kuua huko. Ni kuuondoa uhai wa mtu asiye na hatia. Umemnyima mtu asiuone mwanga wa jua, yote kwa sababu ya kuficha kitu.<br /><br />Mungu anachukia mikono iliyo myepesi kumwaga damu.<br /><br />Mithali 6: 16, 17.<br /><br />16Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA;Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.17 Macho ya kiburi, ulimi wa uongo,Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;<br /><br />Kama Mungu anaichukia mikono imwagayo damu niambie ni kwa namna gani mikono hiyo hiyo kazi zake zinabarikiwa? Unakwama kimaisha, kitaaluma, kibiashara, kikazi, kimasomo, yote kwa dhambi ya kumwaga damu isiyo na hatia. Mbaya zaidi kuna kuwa na mauti imeachiliwa inayoharibu hata kilichopo.<br /><br />Kaini aliimwaga damu ya nduguye Habili ikamletea madhara makubwa sana.<br /><br />Mwanzo 4: 8 – 12.<br /><br />8Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua. 9BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. 11Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako; 12utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.<br /><br />Kaini alikuwa ni mkulima na aliitegemea ardhi na bado hakuzingatia hilo, akaimwaga damu ya nduguye kwenye uwanda ule ule ambao alikuwa anautegemea umpe mazao. Ile damu ikamlilia Mungu. Alinyamazisha sauti ya Habili lakini hakunyamazisha sauti ya damu ya Habili. Mungu akamwambia Kaini kuwa amelaaniwa katika ardhi iliyopokea damu ya ndugu yake, atakapoilima haitampa mazao na sio hivyo tu atakuwa mtoro au mzururaji na mtu asiye na makao. Ninaamini huu uzururaji wa Kaini na kutanga tanga kwa Kaini kulisababishwa na yeye kudhani ni hapo alipo ndo pana shida so anajaribu na kwingine na kwingine na kwingine asijue uhusiano wake na ardhi ambao ndo chanzo cha mapato yake umeharibiwa kupitia tendo lake hilo la kumwaga damu. Kaua ili yeye hakuuawa bali shughuli zake ndo zikauawa.<br /><br />Unatumia kipato chako kuua alafu bado unategemea utaendelea tu kubarikiwa kupitia chanzo hicho. Ndo ushaachilia mauti kwenye shughuli zako. Umefanikiwa kuficha aibu ila hujafaikiwa kuzuia athari za uuaji wako.<br /><br />Musa aliua mtu akamzika akijua hakuna aliyemgundua, kumbe kuna aliyemwona. Sawa umewaficha watu, je shetani umemficha, Mungu naye umemficha? Itakuja kutakwa tu mikononi mwako. Umeinyamazisha sauti ya kimwili ila ya kiroho umeshindwa kuinyamazisha na ndo inayolia kisasi kisasi kisasi. Hakuwa na hatia na ukamwua. Huwezi kuepuka athari za mauti na kuzimu.Musa akaja kujua watu wamejua na hiyo ikaifungulia hatia ya damu maishani mwake akakimbia na kutokomea jangwani kwa miaka 40 na kuchelewesha ukombozi wa wana wa Israeli kwa miaka 30.<br /><br />Maana Mungu alimwambia Ibrahimu kuwa wana wa Israeli watakaa utumwani miaka 400 lakini wakaishia kukaa utumwani miaka 430 kwa sababu ya hatia ya damu iliyomkamata Musa. Alijaribu kufanya miaka kumi kabla ya wakati akaachilia hatia ya damu ambayo ilimkimbiza kwa miaka 40. Usiendelee kuiacha hatia ya damu ikutese. Inakucheleweshea mambo yako bila sababu. Yesu ameshakufa msalabani amechukua dhambi zako mpaka hatia yako ya damu. Damu Yake iliyomwagika kwa ajili yako inakunenea mema kuliko damu ya kina Habili au hao ambao umemwaga damu zao pasipo hatia yoyote.<br /><br />Nilishangaa sana nilipokuwa nafuatilia kazi za damu ya Yesu.<br /><br />Ina samehe na kukomboa.<br /><br />Efeso 1: 7.<br /><br />7Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.<br /><br />Utasamehewa na kukombolewa na athari mbaya za hatia ya damu kama ukitubia makosa yako ya kuua na kumwaga damu isiyo na hatia.<br /><br />Kuna wakati Daudi alipokuwa mfalme kulikuwa na ukame katika ufalme wake miaka mitatu mfululizo. Alipomwuliza Bwana akakuta ni hatia ya damu ndo sababu ya hayo majanga.<br /><br />II Samwli 21: 1.<br /><br />1 Kulikuwa na njaa siku za Daudi muda wa miaka mitatu, mwaka kwa mwaka; naye Daudi akautafuta uso wa BWANA. BWANA akasema, Ni kwa ajili ya Sauli, na kwa nyumba yake yenye damu, kwa kuwa aliwaua hao Wagibeoni.<br /><br />Ukame ule ulisababishwa na kiti cha Ufalme na ikafungulia shida kwenye himaya nzima iliyo chini ya kiti hicho Ukame. Wewe nawe ni mfalme wa Kahimaya kako. Damu isiyo na hatia uliyo mwaga au kwa kutoa mimba au vinginevyo imesababisha huo ukame unaopitia katika maeneo mbali mbali ya maisha yako. Daudi akataka kujua nini kifanyike na jawabu likawa watu wa nyumba ya mhusika wa kuua wauawe ili kuridhisha kisasi cha damu iliyomwagika na ilipofanyika hivyo, mvua ikanyesha. Sisemi lazima mtu afe. Kuna aliyekufa ili kuvunja hatia ya damu inayokutesa na Jina Lake ni Yesu maana imeadikwa adhabu ya amani yetu iliwekwa juu Yake. Unapokuja kwa Yesu na kuikiri dhambi yako ya kuua utapokea msamaha na athari za hiyo dhambi na hatia ya umwagaji damu itavunjwa maishani mwako kwa Jina la Yesu na mvua itaanza kunyesha tena. Ukame utavunjwa na utaanza kuexperience uhuru kamili katika uchumi wako. Fikiria taifa zima liliingia kwenye maafa ya kiuchumi kwa sabau ya hatia ya damu.<br /><br />Je kuna uwezekano kuna maafa ya kifedha maishani mwako kwa sababu ya hati ya damu? Je kuna vurugu za kifamilia kwako kwa sababu ya hatia ya damu? Je inawezekana mambo yako hayaendi kwa sababu ya hati ya damu?<br /><br />Ndugu tengeneza ukitumia mwanga unaopata kwenye hili somo ufunguliwe utembee katika uhuru ambao Kristo amekununulia kwa uhai na damu Yake.<br /><br />Wakati wa Agano la Kale kulikuwa na kitu kinaitwa miji ya makimbilio.<br /><br />Kumbukumbu 19: 1 – 6.<br /><br />1 BWANA, Mungu wako, atakapoyakatilia mbali hayo mataifa yenye nchi akupayo BWANA, Mungu wako, nawe ukawafuata, na kukaa katika miji yao, na katika nyumba zao; 2itenge miji mitatu iwe kwako katikati ya nchi yako, akupayo BWANA, Mungu wako, kuimiliki. 3Itengeze njia, igawanye na mipaka ya nchi yako, akurithishayo BWANA, Mungu wako, iwe mafungu matatu, ili kwamba kila mwenye kuua mtu apate kukimbilia huko. 4Na hii ndiyo hukumu ya mwenye kuua mtu, atakayekimbilia huko awe hai; atakayemwua mwenziwe pasipo kukusudia, wala hakumchukia tangu hapo; 5kama aingiapo mtu na mwenziwe mwituni kwenda kukata kuni, akapeleka mkono wake na shoka ili kukata mti, likatoka shoka katika mpini, likampiga yule mwenziwe hata akafa; basi na akimbilie katika miji hii mmojawapo awe hai; 6asije akaandamiwa mwuaji na mwenye kulipiza kisasi cha damu, moyo wake ukali na hasira, akampata kwa njia kuwa ndefu, akamwua; wala hana haki ya kuuawa, kwa kuwa hakumchukia tangu hapo.<br /><br />Hii miji ya makimbilio ilikuwa kwasababu ya wale ambao wameua bila ya kukusudia ili wakimbilie huko ili mlipiza kisasi cha damu asije akawaua wakati ni jambo wamelifanya kwa kutokukusudia. Hii ina maana kuwa kama mtu alifanya kwa kukusudia asingeweza kukimbilia kwenye hii miji. Hata angekimbilia mlipiza kisasi cha damu angekuja tu kudai atolewe. Sasa wewe umeua kabisa kwa kukusudia alafu unajifanya unakimbilia kwa Yesu kujificha. Hutaepuka kisasi cha mlipiza kisasi cha damu isipokuwa Yesu kaingilia kati na kwa njia ya wewe kuitubu hiyo dhambi maususi, ili sadaka ya Yesu ya Uhai na Damu Yake vichukue nafasi yako wewe ili kukuepusha na athari za mlipa kisasi cha damu.Usifanye shingo yako ngumu. Usipotezee maana haipotezeki. Mruhusu Yesu akuweke huru na athari za mlipa kisasi cha damu uliyomwaga ili wewe uwe huru.<br /><br />Unapomwaga damu ili kuficha majanga yako, umekimbilia chini ya maneno yasiyo ya kweli na kwa njia hiyo umeachilia agano la mauti na mapatano ya kuzimu. Ni hilo agano na mauti na hayo mapatano na kuzimu ndo yanaua kazi zako, furaha yako, amani yako, na vitu vingine vilivyokuuzunguka.<br /><br />Isaya 28: 15.<br /><br />15Kwa sababu mmesema, Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu; pigo lifurikalo litakapopita, halitatufikia sisi; kwa maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, tumejificha chini ya maneno yasiyo kweli;<br /><br />Ukifanya tu maneno ya uwongo kuwa kimbilio na kujificha chini ya maneno yasiyo kweli unajiingiza kwenye agano na mauti na mapatano na kuzimu.<br /><br />Umeificha hiyo mimba kwa kuua, umeunyamazisha huo ukweli kwa kuua, haya sasa mauti ina wewe, kuzimu haikuachi.<br /><br />Ila kuna habari njema hapa:<br /><br />Isaya 28: 16.<br /><br />16kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka.<br /><br />Jiwe hili lililowekwa Sayuni ni Yesu Kristo na amewekwa mahususi kushughulika na hili agano na mauti, na haya mapatano na kuzimu.<br /><br />Isaya 28: 18.<br /><br />18Na agano lenu mliloagana na mauti litabatilika, tena mapatano yenu mliyopatana na kuzimu hayatasimama; pigo lifurikalo litakapopita, ndipo ninyi mtakapokanyagwa nalo.<br /><br />Njoo kwa Yesu ubatilishiwe hilo agano na mauti na kuangushiwa chini hayo mapatano na kuzimu.<br /><br />Mwendee Yesu na mwanga huu uliyoupata na ufunguliwe kabisa na athari mbaya za Hatia ya damu kwa Jina la Yesu. Usisahau kuvunja hilo agano na mauti na mapatano na kuzimu kwa Jina la Yesu ili uwe huru.<br /><br />UMEBARIKIWA NA UMEREHEMIWA</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-46124560275507898022014-02-18T14:42:00.000+03:002014-02-18T14:42:42.722+03:00Soul Music Gosple Concert <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJaydnJQGs9PxXO2-ZF5_dhJP0x62h4-dSuiLer_dv69qdmM11uWiH5T5_ySh5Ki9Wgl-yEa8Ylnw4r4K76lg0W6iDfW3DA_qEKISo0hb3ACGFLXj-M06a1UPvu5nFzI54QKkcEZHrENg/s1600/event.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgJaydnJQGs9PxXO2-ZF5_dhJP0x62h4-dSuiLer_dv69qdmM11uWiH5T5_ySh5Ki9Wgl-yEa8Ylnw4r4K76lg0W6iDfW3DA_qEKISo0hb3ACGFLXj-M06a1UPvu5nFzI54QKkcEZHrENg/s1600/event.jpg" height="450" width="640" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-2029418090667482122014-02-18T14:40:00.000+03:002014-02-18T14:40:48.948+03:00 The Kingdom expands when Christians take risks for the Gospel<div style="text-align: justify;">
Steve Stewart is the founder of Impact Nations, an international ministry passionate about sharing the Gospel and healing power of Jesus among the poorest communities around the world.<br /><br />His heart is to see the Kingdom of God advance, both through supernatural intervention and the practical support of Christians. He believes that we are all called to be active in God's plan for redemption, and that the western Church must learn from the faith movement gaining momentum in countries such as India, where house churches are growing in spite of intense persecution in some areas.</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgj3rdrTLXM18YwehuY738dIaDuqybPd8eJDkMkcEsVW5FyNt3sEx0k7jF1V9-voZatZc66GanvrZhZp7PSlf2lqnp-t32mBWkX6b2MkG0akKbEgDMTnupxA_B-0ps5Q_vespsbaW1VQQY/s1600/steve-stewart-impact-nations.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgj3rdrTLXM18YwehuY738dIaDuqybPd8eJDkMkcEsVW5FyNt3sEx0k7jF1V9-voZatZc66GanvrZhZp7PSlf2lqnp-t32mBWkX6b2MkG0akKbEgDMTnupxA_B-0ps5Q_vespsbaW1VQQY/s1600/steve-stewart-impact-nations.jpg" height="212" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><span style="font-size: small;"><b>Steve and his wife Christina</b></span></i></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
"There is a certain irony that although we in the West pursue vicarious adventure through entertainment, we are reluctant to speak in large terms. Although we in the church should be the most vocal in calling people up to a great purpose, the great adventure of living in the Kingdom of God, we settle for small things in this present age," Steve writes in his book, 'When everything changes'.<br /><br />"We put our desires and hopes off into the Age to Come. With over half the world suffering in extreme poverty, with more slaves living now than at any time in history, there has never been a greater need for men and women to rise up and activate their faith.<br /><br />"This is a joyful, exuberant call to action," he says.<br /><br />Christian Today got the opportunity to catch up with Steve, and learn more of his desire to see people capture God's vision to see people lifted out of hopelessness and desperation across the globe.<br /><br />CT: One of your passions is to see people become active in God's redemptive plan. Why is it so important?<br /><br />SS: Romans 8:19-22 tells us that all of creation is groaning, waiting for the sons - and daughters - of God to be revealed. We are called to participate in the rescue, reconciliation and restoration activity of God's Kingdom. This is what we were made for. The Kingdom is in our DNA and when we start to move in its rhythm, we come alive. It amazes me that the Creator of everything invites us to partner with Him in His great purpose.<br /><br />CT: How can the Church be released to become less passive?<br /><br />SS: Jesus has always invited and challenged men and women to a lifestyle of active faith. To follow Him (Matthew 4:19-20) means movement from something to something. Discipleship is never static. As Jesus said in John 12:26: if we want to be His disciples, then we must follow Him, and if we are going to follow Him, then we must be where He is. One of the key ways that Jesus forms us is through the movement of following Him into new situations. At the end of the Sermon on the Mount, Jesus says that the only difference between the one who builds his life on the rock and the one who builds on the sand is putting Jesus' words into practice. Moving from theoretical belief to active participation is one of the greatest dividing lines in the 21st century church.</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-37118388323865317642014-02-18T12:26:00.000+03:002014-02-18T12:26:46.025+03:00Maaskofu wakataa ushoga Uingereza<div style="text-align: justify;">
Maaskofu wakuu nchini Uingereza wamewaambia viongozi wa dini kwamba hawataruhusiwa kuingia katika ndoa za jinsia moja.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Pia walisema kwamba hawatakubali kuona viongozi wa dini kwenda kinyume na maagizo hayo nchini humo.</div>
<div style="text-align: justify;">
Viongozi wa dini wa kanisa la Ki-Anglikana
wanakubaliwa na kanisa hilo kuingia katika uhusiano wa kimapenzi lakini
kwa maelewano kwamba hawatashiriki ngono.<br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
Katika mwelekeo wao, maaskofu hao pia walipiga
marufuku maombi yoyote maalumu kwa wanandoa wa jinsia moja licha ya
ripoti rasmi ya kanisa hilo kupendekeza kwamba viongozi wa dini wanaweza
kufanya hivyo iwapo wanajihisi.<br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
Hata hivyo walidai viongozi wa dini wanapaswa kutoa maombi yasiyo rasmi kwa wanandoa walio katika uhusiano wa jinsia moja.<br />
</div>
<div style="text-align: justify;">
<strong>Uganda </strong></div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa upande wa Rais Yoweri Museveni wa Uganda alisema atasaini muswaada tata unaopinga ushoga na kuwa sheria kamili.Hatua hiyo inaelezwa kuwa ni onyo kwa wanaotetea vitendo vya mahusiano ya jinsia moja kuwa watashughulikiwa vikali nchini humo.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
Mwezi uliopita kiongozi huyo alipanga kuachana na
mswada huo ambao umekuwa ukikosolewa vikali na wahisani kutoka mataifa
ya Magharibi na wanaharakati wa haki za binaadamu tangu ulipowasilishwa
mwaka 2009.Mapenzi ya jinsia moja ni mwiko katika mataifa ya Afrika na kinyume cha sheria kwa mataifa 37.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
<strong>Wasiwasi wa mashoga wa Afrika </strong></div>
<div style="text-align: justify;">
Wanaharakati wa haki za binaadamu wanasema
Waafrika wachache waliojitangaza kuwa mashoga, wanahofu ya kufungwa,
kukabiliwa na vurugu na kupoteza ajira zao.<br />
<br />
<b><i>Source:Mwananchi </i></b></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-83715503847191976292014-02-14T17:18:00.000+03:002014-02-14T18:11:36.610+03:00Spiritual Women Group Conference <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6b5egMUWq30eros1ke7QxYFf8-yRm1dl5ue6O3CsDCnxag3sWHr5Kkb2FBa8AbzNzZZWJmAHLd5_vOxjLFCTI8UF2ElGseKUbtGtkGJXQQy_rv0EkfjFaASSgrhbuml7ry8x7DUXUN2A/s1600/Akuzamu.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj6b5egMUWq30eros1ke7QxYFf8-yRm1dl5ue6O3CsDCnxag3sWHr5Kkb2FBa8AbzNzZZWJmAHLd5_vOxjLFCTI8UF2ElGseKUbtGtkGJXQQy_rv0EkfjFaASSgrhbuml7ry8x7DUXUN2A/s1600/Akuzamu.jpg" height="640" width="452" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-1634194664218913522014-02-14T17:09:00.000+03:002014-02-14T17:09:04.821+03:00Darlene Zschech Finishes 1st Round of Chemo for Breast Cancer; Writing New Songs During Treatment<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: left; margin-right: 1em; text-align: left;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjik6riftH0FuU3SAm-Ab8LeUZ1q-4Dl298GzYEfC5NrGIs6kGGuweTwyDovPFg9OCV6kCMKlk0bnFJP47IM03TfY7pCmB0PpcJiy2pvQKdllhBHSRlCdoEkjC1N-y1p-By-WQFA_YJ30w/s1600/darlene-zschech.jpg" imageanchor="1" style="clear: left; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjik6riftH0FuU3SAm-Ab8LeUZ1q-4Dl298GzYEfC5NrGIs6kGGuweTwyDovPFg9OCV6kCMKlk0bnFJP47IM03TfY7pCmB0PpcJiy2pvQKdllhBHSRlCdoEkjC1N-y1p-By-WQFA_YJ30w/s1600/darlene-zschech.jpg" height="212" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><i><span style="font-size: small;">Darlene Zschech, currently co-pastor of Hope Unlimited Church, sings.</span></i></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
Former Hillsong worship leader Darlene Zschech recently finished one of the five rounds of chemotherapy she must undergo for breast cancer. Amid losing hair and having emotional ups and downs, she's being assured of God's love, which is "one of the sweetest parts of the journey."<br />
<br />
"I am coming to the end of round one of chemo (I have 5 to go) and all I can say is, 'Grace, grace and more grace,'" Darlene wrote on her blog Friday last week. "I am learning to rest in every promise from Jesus. In fact, it's His word that is giving me the strength to inhale and exhale moment by moment."<br />
<br />
The singer/songwriter announced she had cancer around last Christmas.<br />
<br />
On Dec. 29, she wrote on her blog that the doctors discovered at a routine mammogram she had developed breast cancer. "Since then, it has been a whirlwind of appointments, scans and surgery."<br />
<br />
"To be completely honest, this is not the kind of news anyone ever really wants to tell. However, I have seen two absolute miracles in my body thus far and I know there will be many more to come," she said at the time, and quoted Romans 5:3-5: "Not only so, but we also glory in our sufferings, because we know that suffering produces perseverance, perseverance character and character HOPE. And hope does not put us to shame, because God's love has been poured out into our hearts through the Holy Spirit, who has been given to us."<br />
<br />
Zschech is most famous for penning the worship song "Shout to the Lord." After serving as worship pastor at the Pentecostal Hillsong Church in Sydney, Australia, for over a decade, Zschech stepped down to co-pastor another church with her husband Mark. The couple has been leading Hope Unlimited Church on the Central Coast of New South Wales since 2011.<br />
<br />
<br />
Since her cancer announcement, Zschech has been writing about her journey. She has been finding strength in the many prayers directed toward her as she goes through six months of treatment.<br />
<br />
This week, she lost her hair which she finds "very confronting." "It definitely makes me look sicker than I feel."<br />
<br />
The gospel singer wrote that her husband jokes with her saying she can now save a lot of money she would otherwise be paying to hairdressers. And their daughters have named her wig "Betty." "I love my girls and they are keeping it light and laughter filled for me."<br />
<br />
While this has been "a quite a ride on an emotional roller," she said, "I am assured of God's love for me. Truly this has been one of the sweetest parts of the journey. My beautiful Emmanuel is never far away. Our Friends, family and our beloved church family are amazing every day. I'm ever convinced that life was always designed to be done in true community. Good days and bad days yet always better together."<br />
<br />
She said she has been using this time to write more songs and thoughts, which she'll share "when I am on the other side of this mountain."<br />
<br />
"In fact, we are already planning a Thanksgiving service at our church in November, where we will record songs birthed during this season. We simply want to fill the place with praise for all that God has done," she added.</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-63006942216230200052014-02-12T17:41:00.001+03:002014-02-12T17:41:31.798+03:00Growing Deepr in The Word @ City Harvest Church<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgV8V7_nWpU0hsvJaNnGmSFyJ1sleQ5GC-VaHfakuTjBmKQKqb4el4fD9ni9aP2ydBq3lD-_GLkd5yz-ONwGb4oLfjq-zG0miSlYjaCStNb1Dmf17BK70GCGpQpy1zbs00HUziOYQaX9rU/s1600/CITY+HARVEST.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgV8V7_nWpU0hsvJaNnGmSFyJ1sleQ5GC-VaHfakuTjBmKQKqb4el4fD9ni9aP2ydBq3lD-_GLkd5yz-ONwGb4oLfjq-zG0miSlYjaCStNb1Dmf17BK70GCGpQpy1zbs00HUziOYQaX9rU/s1600/CITY+HARVEST.jpg" height="640" width="531" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-7503802624516730182014-02-12T11:46:00.003+03:002014-02-12T11:46:44.588+03:00Prophetic School Yaanza Jijini Dar es salaam.<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-pCecNFPgYi43cPgWlP7JMKiOM3Euim7GnCxceCgy3v1i5Rvp1dpgOXwb1ILfZUjUcgx5azHzGfrJmBsXM3eFOBhwxB5Lny-I6aPwg6erqThMQfkrKRotMqWGDCOp4f8xPBq9bMEGTeg/s1600/Chief-Bishop.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh-pCecNFPgYi43cPgWlP7JMKiOM3Euim7GnCxceCgy3v1i5Rvp1dpgOXwb1ILfZUjUcgx5azHzGfrJmBsXM3eFOBhwxB5Lny-I6aPwg6erqThMQfkrKRotMqWGDCOp4f8xPBq9bMEGTeg/s1600/Chief-Bishop.jpg" height="320" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small;"><b><i>Bishop.Dr.Bernad Nwaka Kutoka Zambia Add caption</i></b></span></td></tr>
</tbody></table>
<br />
Kamati ya maandalizi ya Shule ya Kinabii Tanzania inawakaribisha watu wote kwenye shule ya Kinabii itakayofanyika Tarehe 11-16/02/2014 Mahali ni Kanisa la Mlima wa Bwana “Restoration Bible Church” Jangwani Kariakoo Jijini Dar es salaam. Muda:saa 9:00 Alasiri- Saa 1:00 Jioni Mnenaji ni Bishop.Dr.Bernad Nwaka Kutoka Zambia Ada ni sh: 10.000/Tsh kwa siku zote Mwisho wa Shule utapewa Cheti<br />
Karibu Tujifunze Huduma zetu na tumtumike Mungu kwa Uhuru.<br />
<br />
Nilipozungumza na mmoja wa waandaaji Pastor Rose Mgogo ameniambia kuwa hii ni mara ya tatu inafanyika Nchini na itakuwa ni jambo la Mwendelezo,Malengo yake ni kuwafundisha watu wote hasahasa watumishi wa Mungu wale wenye huduma nikimaanisha Wachungaji.Mitume,Manabii,Maaskofu na Waalimu ikiwa ni kuona wanapata mafundisho sahihi na Kusimama katika Kuifundisha kweli ya Mungu bila kupindisha ukweli.<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-35505013475707210772014-02-12T11:33:00.002+03:002014-02-12T11:39:34.119+03:00Majina Bunge la Katiba:Maaskofu Pentekoste wampinga Rais Kikwete<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<div style="text-align: justify;">
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0CMSscarIz6TvFDtKKJ3m5k3a438rWtb_Jqa2nDZ5YAoAX5VfKF6Qxk7oBf7nDAHlA1ZKG5ZlS4dAtO2DBSbiFnsxIxZFSbhoB6tb-kzHdFHJz8CO_Zh0Cg8M6C61vYbGsfXbEwaT-CA/s1600/Zacharia+Kakobe.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEg0CMSscarIz6TvFDtKKJ3m5k3a438rWtb_Jqa2nDZ5YAoAX5VfKF6Qxk7oBf7nDAHlA1ZKG5ZlS4dAtO2DBSbiFnsxIxZFSbhoB6tb-kzHdFHJz8CO_Zh0Cg8M6C61vYbGsfXbEwaT-CA/s1600/Zacharia+Kakobe.jpg" height="265" width="400" /></a></div>
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste nchini (PCT), limedai kusikitishwa na kitendo cha Serikali kuwabagua katika uteuzi wa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Baraza hilo, Askofu David Batenzi, alisema wao ni miongoni mwa taasisi kubwa za kidini iliyo wasilisha majina serikalini kama walivyoagizwa.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Alisema Serikali inapaswa kukomesha mara moja ubaguzi wa kidini nchini ambao kimsingi umekuwa ukigawa watu kwa makundi ukitawaliwa na siasa, udini na ukabila. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Aliongeza kuwa, kama Serikali itaendelea kung'ang'ania msimamo wa kutaka wajumbe wa Baraza la Maaskofu wa Kipentekoste wasihusike Bunge hilo, wataitisha Mkutano Mkuu ambao utajumuisha Maaskofu wote nchi nzima.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Wengine ambao watahusika na mkutano huo ni mitume na wachungaji wote ili kutafakari kwa pamoja hatima ya kutengwa na serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kuchukua hatua ili haki iweze kutendeka kwa vizazi vijavyo. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
"Katika kutafakari mwenendo wa uongozi wa Serikali tangu awamu ya kwanza hadi ya nne, tumeona kuna mfumo dume unaofanya ubaguzi wa makusudi kwa baadhi ya makundi ya kidini na kukumbatia makundi mengine ya kidini.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
"Hali hii imesababisha makundi mengine kuporwa haki zao za msingi wanazotakiwa kupewa na Serikali...utafiti uliofanywa hivi karibuni, unaonesha hali ya udini, siasa na ukabila ambao unajitokeza sana katika nchi yetu," alisema.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Alisema ubaguzi huo hujitokeza hasa unapofika wakati wa kuamua masuala muhimu yenye manufaa kwa ajili ya nchi pamoja na vizazi vijavyo.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Askofu Batenzi alisema Kamati Kuu ya Utendaji ya PCT Taifa, katika kikao chake cha Desemba 5,2013, walichagua majina ya watu walioona wanafaa kuchaguliwa katika Bunge hilo, lakini hakuna hata mmoja aliyechaguliwa.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Aliongeza kuwa, si mara ya kwanza kwa Serikali kupuuza mapendekezo ya Wapentekoste bali imekuwa ikiwabagua kila yanapojitokeza masuala muhimu yanayohusu uwakilishi wa kidini katikaTaifa. </div>
<div style="text-align: justify;">
"Kwa muda wa miongo miwili, Wapentekoste tumekuwa tukinyimwa haki na Serikali ikiwemo ya kushiriki katika mambo ya msingi ya kitaifa.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
"Serikali haitushirikishi katika sherehe za kitaifa kama inavyofanyika kwa taasisi nyingine za kidini, maombi ya dua wakati Rais mteule anapoapishwa na kuwekewa masharti magumu ya vibali vya mikutano ya injili," alisema. </div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Alisema pengine Serikali inaona Wapentekoste hawana sifa za kuchaguliwa katika Bunge hilo hivyo ikaamua kuteua majina ya wajumbe kutoka taasisi nyingine zikiwemo za Waislamu, Wakatoliki, Walutheri, wengine binafsi Tanzania Bara, Visiwani na kuwaacha wao.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
"Baraza la Kiislamu wamepewa nafasi 10, Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) wajumbe watatu, Walutheri (CCT) wajumbe watano na wawili binafsi lakini PCT hakuna hata mmoja.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /></div>
<div style="text-align: justify;">
Kwa Upande wake, Mjumbe wa Baraza la Utendaji ambaye pia ni Askofu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zakaria Kakobe, alisema wamechoshwa kubaguliwa na Serikali hivyo watasimama kutetea haki yao.</div>
<div style="text-align: justify;">
<i><b><br /></b></i></div>
<div style="text-align: justify;">
<i><b>Source:Majira</b></i></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-67403257526687023052014-02-12T11:22:00.000+03:002014-02-12T11:22:23.023+03:00Kuwekwa Huru na Matokeo Mabaya ya Hatia ya Damu na Pastor Carlos Kirimbai<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEOV9L_M5QMHx2TZqWgwHl57BFATj-XGkkBf-UwPmly-weOg-5BWDuENVGjINw22ADFC4WjeBRktB6NpHuWQY6LSa2m2fQ7GgFh4pDDyv4uXLRfMz-2-qIF4X7B5r_CIiTN09UsI-SGFY/s1600/Pastor+Carlos++Kirimbai.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgEOV9L_M5QMHx2TZqWgwHl57BFATj-XGkkBf-UwPmly-weOg-5BWDuENVGjINw22ADFC4WjeBRktB6NpHuWQY6LSa2m2fQ7GgFh4pDDyv4uXLRfMz-2-qIF4X7B5r_CIiTN09UsI-SGFY/s1600/Pastor+Carlos++Kirimbai.jpg" height="212" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b style="background-color: white; color: #222222; font-family: Arial, Tahoma, Helvetica, FreeSans, sans-serif; line-height: 14px;"><i><span style="font-size: small;">Pastor Carlos Kirimbai Manna Tabernacle Bible Church</span></i></b></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;">Sio kawaida yangu kuanza somo na ushuhuda ila hili nimeamua kulianza na ushuhuda kutokana na unyeti wa somo lenyewe.</span></div>
<div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Miaka kadhaa iliyopita kuna dada mmoja ambaye nilikuwa namfahamu, alikuwa akiteswa sana na hali ya kutopata watoto. Ni jambo lilikuwa linamsumubua sana kwenye ndoa yake na alikuwa amenishirikisha na nikamwandalia kitini chenye ahadi za Mungu juu ya kupata watoto na nikamhakikishia kuwa ahadi za Mungu zote katika Kristo Yesu ni ndiyo na amina. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Lakini pamoja na hayo bado huyu dada akaendelea kuteswa na hiyo hali ya kutopata watoto. Ikitokea anapata uja uzito ule uja uzito unatoka ukiwa na miezi michache sana. Hii ilinisumbua sana kama Mchungaji wake maana neno la Mungu lipo wazi kuwa hapatakuwa na mwenye kuharibu mimba wala aliye tasa miongoni mwa watu wa Mungu. Neno la Mungu lipo wazi kabisa kuwa watoto ni Baraka itokayo kwa Mungu na uzao wa tumbo ni thawabu Yake. Hii ilinisumbua sana maana huyu dada alikuwa ameokoka na hapakuwa na sababu yoyote ya msingi kwanini awe anateswa kwa namna hii.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Siku moja nikiwa naliwaza hili ili nipate solution ya Kimungu juu ya tatizo la huyu dada nikasikia moyoni maneno yanayopatikana kwenye moja ya maandiko nitakayotumia katika fundisho hili: “Agano na mauti, mapatano na kuzimu.” Nilishtuka sana maana niliisikia as clear as wewe unavyoweza kusikia mimi nikisema na wewe. Nikauliza huko huko moyoni, Lakini Mungu huyu ni mtoto wako ana agano na wewe na mapatano na wewe kupitia damu ya Yesu, iweje tena awe na agano na mauti na mapatano na kuzimu? Nikasikia tena maneno hayo hayo yakijirudia. Nikajua this is serious. Nikauliza tena huko moyoni How? Nikasikia wazi wazi “BLOOD GUILTINESS.” Nikashtuka maana nilielewa sasa Mungu anasema nini. Nikauliza Mungu huyu binti kaua mtu? Jibu lilinishtusha sana. Aliniambia ameua watu sio mtu. Nikasema kwa sauti nikiwa peke yangu, “My God! Whaaaaaaaat?!!!!!!” akarudia tena, ameua watu sio mtu. Sasa hapo naongea kwa sauti ya wazi wakati Yeye Mungu ananisemesha moyoni. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Nilikaa sakafuni chumbani kwangu nikasema, Mungu hapa sikuelewiiiii! Kaua watu gani! Akaniuliza hivi wewe hujui watu wanavyo ua na hawajioni kuwa ni shida? Nikamdaka hapo hapo. Nikaambiwa mwite muulize. Nilimtafuta huyu binti nikamwambia nahitaji kuonana na wewe. Tukapanga siku atakayokuja kuniona alipokuja sikumzunguka nikamwuliza binti embu niambie umemwua nani na umewaua wangapi maana Mungu ananiambia hupati watoto kwa kuwa wewe ni mwuaji. Alishika kichwa akasema “My God!!!” akainama huku machozi yanamtoka. Nikamwuliza binti umeshawahi kutoa mimba? Akaniambia ndiyo mchungaji. Sikutaka kumpotezea wakati maana alihitaji suluhisho la haraka kwa ajili ya uteka wake. Nikamwambia sasa mwanangu kutoa kwako mimba kumegeuza tumbo lako la uzazi badala ya kuwa chanzo cha uhai na mahali pa salama pa kumkuza mtoto, pamekuwa kiwanda cha kuulia watoto wanaoingia hapo. Tumbo lako lina agano na mauti na mapatano na kuzimu kwa sababu umekuwa ukiua watoto ambao wamekuwa wakiingia humo ndani. Akaniambia ni kweli Pastor. Nikamwambia unateswa na hatia ya damu na hilo litabidi tu livunjwe. Neno linasema tuungamiane dhambi zetu sisi kwa sisi na kuombeana tupate kupona. Hapo akawa kaungama dhambi yake. Nikamwongoza sala ya kuvunja hilo agano na mauti na mapatano na kuzimu sawasawa na ilivyofunuliwa kwenye neno. Nikaomba naye akalia sana. Akasema sasa Pastor nina amani. Nikamwambia nenda sasa kazae. Namshukuru Mungu ule uteka wa miaka ulivunjwa na sasa huyu dada na mumewe wana watoto. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kama umeua kwa kukusudia au kutokukusudia inawezekana unateswa na shida hii ya hatia ya damu. Inawezekana kabisa umeingia katika agano na mauti na mapatano na kuzimu ambayo yanakutesa na kuzuia au kuua vitu vyako vingi.Tutalifuatilia hili jambo kimaandiko na kuleta suluhisho la msalaba kwa tatizo hili gumu ambalo linatesa maisha ya wengi.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Daudi alifanya kosa la kuzini na mke wa mtu akampa huyo mke wa mtu mimba alafu akafunika hilo kosa kwa kuua mumewe. Kama ambavyo sisi tunafanya uasherati au uzinzi tunampa mtu au kupewa mimba na katika jitihada za kufunika hiyo aibu tunaamua kuitoa hiyo mimba ambayo kimsingi ni kuua. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Yai la mwanamke likishakutana na mbegu ya kiume na mimba ikatungwa Yule ni mtu katika hatua zake za awali. Hutoi bonge la damu au bonge la nyama unaua mtu na unamwaga damu usiyo na hatia. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Daudi alipogundulika alilikwenda mbele za Mungu kwa toba lakini pamoja na toba akaomba aponywe na damu za watu. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Zaburi 51: 14.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
14Ee MUNGU, Mungu wa wokovu wangu,Uniponye na damu za watu,Na ulimi wangu utaiimba haki yako.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Damu za watu zilileta shida katika maisha ya Daudi.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Naipenda inavyosema kwenye bibilia ya kiingereza:</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
“Deliver me from the guilt of bloodshed,……”</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kimsingi anaomba akombolewe na hatia ya damu aliyoimwaga.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Utashangaa pale awali Daudi alipotubu baada ya nabii Nathan kuja na kuiweka wazi dhambi yake, aliambiwa amesamehewa ila athari za dhambi yake hii ziliachiliwa juu yake na ndicho Daudi alichokuwa anashughulikia hapa kwenye haya maombi ya Zaburi 51.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
I Samweli 12: 10 – 14.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
10Basi, sasa upanga hautaondoka nyumbani mwako, kwa sababu umenidharau, ukamtwaa mkewe Uria, Mhiti, kuwa mke wako. 11BWANA asema hivi, Angalia, nitakuondokeshea uovu katika nyumba yako, nami nitawatwaa wake zako mbele ya macho yako, na kumpa jirani yako, naye atalala na wake zako mbele ya jua hili. 12Maana wewe ulifanya jambo lile kwa siri; bali mimi nitalifanya jambo hili mbele ya Israeli wote na mbele ya jua. 13Daudi akamwambia Nathani, Nimemfanyia BWANA dhambi. Nathani akamwambia Daudi, BWANA naye ameiondoa dhambi yako; hutakufa. 14Lakini, kwa kuwa kwa tendo hili umewapa adui za BWANA nafasi kubwa ya kukufuru, mtoto atakayezaliwa kwako hakika yake atakufa.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Pamoja na kwamba alisamehewa dhambi yake lakini kuna mauti ilifunguliwa kuingia kweye nyumba ya Daudi kupitia kitendo chake cha kuua mtu. Unapotoa mimba unaifungulia mauti kuingia katika maisha yako hususa kwenye uzazi wako. Haijalishi ni mwanaume au ni mwanamke. Ukitoa mimba au kusaidia kutoa mimba umeua au umesaidia kuua.Daudi alitamani kumjengea Mungu nyumba lakini akaambiwa hataweza kujenga kwa sababu mikono yake ilikuwa na damu. Hii roho ya mauti na kuzimu unayoifungulia maishani mwako kwa njia ya kuua itakugharimu sana. Itakunyanganya mpaka uwezo wa kujenga. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Bahati mbaya sana sio wasioamini tu wanatoa mimba siku hizi mpaka waaminio na mbaya zaidi waliyo ndani ya ndoa. Aibu ya mama kushika mimba mapema mno baada ya mtoto kuzaliwa labda miezi michache inawafanya waitoe. Ni kuua huko. Ni kuuondoa uhai wa mtu asiye na hatia. Umemnyima mtu asiuone mwanga wa jua, yote kwa sababu ya kuficha kitu. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Mungu anachukia mikono iliyo myepesi kumwaga damu.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Mithali 6: 16, 17.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
16Kuna vitu sita anavyovichukia BWANA;Naam, viko saba vilivyo chukizo kwake.17 Macho ya kiburi, ulimi wa uongo,Na mikono imwagayo damu isiyo na hatia;</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kama Mungu anaichukia mikono imwagayo damu niambie ni kwa namna gani mikono hiyo hiyo kazi zake zinabarikiwa? Unakwama kimaisha, kitaaluma, kibiashara, kikazi, kimasomo, yote kwa dhambi ya kumwaga damu isiyo na hatia. Mbaya zaidi kuna kuwa na mauti imeachiliwa inayoharibu hata kilichopo.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kaini aliimwaga damu ya nduguye Habili ikamletea madhara makubwa sana.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Mwanzo 4: 8 – 12.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
8Kaini akamwambia Habili nduguye, [Twende uwandani]. Ikawa walipokuwapo uwandani, Kaini akamwinukia Habili nduguye, akamwua. 9BWANA akamwambia Kaini, Yuko wapi Habili ndugu yako? Akasema, Sijui, mimi ni mlinzi wa ndugu yangu? 10Akasema, Umefanya nini? Sauti ya damu ya ndugu yako inanililia kutoka katika ardhi. 11Basi sasa, umelaaniwa wewe katika ardhi, iliyofumbua kinywa chake ipokee damu ya ndugu yako kwa mkono wako; 12utakapoilima ardhi haitakupa mazao yake; utakuwa mtoro na mtu asiye na kikao duniani.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kaini alikuwa ni mkulima na aliitegemea ardhi na bado hakuzingatia hilo, akaimwaga damu ya nduguye kwenye uwanda ule ule ambao alikuwa anautegemea umpe mazao. Ile damu ikamlilia Mungu. Alinyamazisha sauti ya Habili lakini hakunyamazisha sauti ya damu ya Habili. Mungu akamwambia Kaini kuwa amelaaniwa katika ardhi iliyopokea damu ya ndugu yake, atakapoilima haitampa mazao na sio hivyo tu atakuwa mtoro au mzururaji na mtu asiye na makao. Ninaamini huu uzururaji wa Kaini na kutanga tanga kwa Kaini kulisababishwa na yeye kudhani ni hapo alipo ndo pana shida so anajaribu na kwingine na kwingine na kwingine asijue uhusiano wake na ardhi ambao ndo chanzo cha mapato yake umeharibiwa kupitia tendo lake hilo la kumwaga damu. Kaua ili yeye hakuuawa bali shughuli zake ndo zikauawa. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Unatumia kipato chako kuua alafu bado unategemea utaendelea tu kubarikiwa kupitia chanzo hicho. Ndo ushaachilia mauti kwenye shughuli zako. Umefanikiwa kuficha aibu ila hujafaikiwa kuzuia athari za uuaji wako.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Musa aliua mtu akamzika akijua hakuna aliyemgundua, kumbe kuna aliyemwona. Sawa umewaficha watu, je shetani umemficha, Mungu naye umemficha? Itakuja kutakwa tu mikononi mwako. Umeinyamazisha sauti ya kimwili ila ya kiroho umeshindwa kuinyamazisha na ndo inayolia kisasi kisasi kisasi. Hakuwa na hatia na ukamwua. Huwezi kuepuka athari za mauti na kuzimu.Musa akaja kujua watu wamejua na hiyo ikaifungulia hatia ya damu maishani mwake akakimbia na kutokomea jangwani kwa miaka 40 na kuchelewesha ukombozi wa wana wa Israeli kwa miaka 30. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Maana Mungu alimwambia Ibrahimu kuwa wana wa Israeli watakaa utumwani miaka 400 lakini wakaishia kukaa utumwani miaka 430 kwa sababu ya hatia ya damu iliyomkamata Musa. Alijaribu kufanya miaka kumi kabla ya wakati akaachilia hatia ya damu ambayo ilimkimbiza kwa miaka 40. Usiendelee kuiacha hatia ya damu ikutese. Inakucheleweshea mambo yako bila sababu. Yesu ameshakufa msalabani amechukua dhambi zako mpaka hatia yako ya damu. Damu Yake iliyomwagika kwa ajili yako inakunenea mema kuliko damu ya kina Habili au hao ambao umemwaga damu zao pasipo hatia yoyote.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Nilishangaa sana nilipokuwa nafuatilia kazi za damu ya Yesu. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Ina samehe na kukomboa.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Efeso 1: 7.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
7Katika yeye huyo, kwa damu yake, tunao ukombozi wetu, masamaha ya dhambi, sawasawa na wingi wa neema yake.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Utasamehewa na kukombolewa na athari mbaya za hatia ya damu kama ukitubia makosa yako ya kuua na kumwaga damu isiyo na hatia. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kuna wakati Daudi alipokuwa mfalme kulikuwa na ukame katika ufalme wake miaka mitatu mfululizo. Alipomwuliza Bwana akakuta ni hatia ya damu ndo sababu ya hayo majanga.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
II Samwli 21: 1.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
1 Kulikuwa na njaa siku za Daudi muda wa miaka mitatu, mwaka kwa mwaka; naye Daudi akautafuta uso wa BWANA. BWANA akasema, Ni kwa ajili ya Sauli, na kwa nyumba yake yenye damu, kwa kuwa aliwaua hao Wagibeoni.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Ukame ule ulisababishwa na kiti cha Ufalme na ikafungulia shida kwenye himaya nzima iliyo chini ya kiti hicho Ukame. Wewe nawe ni mfalme wa Kahimaya kako. Damu isiyo na hatia uliyo mwaga au kwa kutoa mimba au vinginevyo imesababisha huo ukame unaopitia katika maeneo mbali mbali ya maisha yako. Daudi akataka kujua nini kifanyike na jawabu likawa watu wa nyumba ya mhusika wa kuua wauawe ili kuridhisha kisasi cha damu iliyomwagika na ilipofanyika hivyo, mvua ikanyesha. Sisemi lazima mtu afe. Kuna aliyekufa ili kuvunja hatia ya damu inayokutesa na Jina Lake ni Yesu maana imeadikwa adhabu ya amani yetu iliwekwa juu Yake. Unapokuja kwa Yesu na kuikiri dhambi yako ya kuua utapokea msamaha na athari za hiyo dhambi na hatia ya umwagaji damu itavunjwa maishani mwako kwa Jina la Yesu na mvua itaanza kunyesha tena. Ukame utavunjwa na utaanza kuexperience uhuru kamili katika uchumi wako. Fikiria taifa zima liliingia kwenye maafa ya kiuchumi kwa sabau ya hatia ya damu.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Je kuna uwezekano kuna maafa ya kifedha maishani mwako kwa sababu ya hati ya damu? Je kuna vurugu za kifamilia kwako kwa sababu ya hatia ya damu? Je inawezekana mambo yako hayaendi kwa sababu ya hati ya damu?</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Ndugu tengeneza ukitumia mwanga unaopata kwenye hili somo ufunguliwe utembee katika uhuru ambao Kristo amekununulia kwa uhai na damu Yake.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Wakati wa Agano la Kale kulikuwa na kitu kinaitwa miji ya makimbilio.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Kumbukumbu 19: 1 – 6.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
1 BWANA, Mungu wako, atakapoyakatilia mbali hayo mataifa yenye nchi akupayo BWANA, Mungu wako, nawe ukawafuata, na kukaa katika miji yao, na katika nyumba zao; 2itenge miji mitatu iwe kwako katikati ya nchi yako, akupayo BWANA, Mungu wako, kuimiliki. 3Itengeze njia, igawanye na mipaka ya nchi yako, akurithishayo BWANA, Mungu wako, iwe mafungu matatu, ili kwamba kila mwenye kuua mtu apate kukimbilia huko. 4Na hii ndiyo hukumu ya mwenye kuua mtu, atakayekimbilia huko awe hai; atakayemwua mwenziwe pasipo kukusudia, wala hakumchukia tangu hapo; 5kama aingiapo mtu na mwenziwe mwituni kwenda kukata kuni, akapeleka mkono wake na shoka ili kukata mti, likatoka shoka katika mpini, likampiga yule mwenziwe hata akafa; basi na akimbilie katika miji hii mmojawapo awe hai; 6asije akaandamiwa mwuaji na mwenye kulipiza kisasi cha damu, moyo wake ukali na hasira, akampata kwa njia kuwa ndefu, akamwua; wala hana haki ya kuuawa, kwa kuwa hakumchukia tangu hapo.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Hii miji ya makimbilio ilikuwa kwasababu ya wale ambao wameua bila ya kukusudia ili wakimbilie huko ili mlipiza kisasi cha damu asije akawaua wakati ni jambo wamelifanya kwa kutokukusudia. Hii ina maana kuwa kama mtu alifanya kwa kukusudia asingeweza kukimbilia kwenye hii miji. Hata angekimbilia mlipiza kisasi cha damu angekuja tu kudai atolewe. Sasa wewe umeua kabisa kwa kukusudia alafu unajifanya unakimbilia kwa Yesu kujificha. Hutaepuka kisasi cha mlipiza kisasi cha damu isipokuwa Yesu kaingilia kati na kwa njia ya wewe kuitubu hiyo dhambi maususi, ili sadaka ya Yesu ya Uhai na Damu Yake vichukue nafasi yako wewe ili kukuepusha na athari za mlipa kisasi cha damu.Usifanye shingo yako ngumu. Usipotezee maana haipotezeki. Mruhusu Yesu akuweke huru na athari za mlipa kisasi cha damu uliyomwaga ili wewe uwe huru. </div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Unapomwaga damu ili kuficha majanga yako, umekimbilia chini ya maneno yasiyo ya kweli na kwa njia hiyo umeachilia agano la mauti na mapatano ya kuzimu. Ni hilo agano na mauti na hayo mapatano na kuzimu ndo yanaua kazi zako, furaha yako, amani yako, na vitu vingine vilivyokuuzunguka.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Isaya 28: 15.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
15Kwa sababu mmesema, Tumefanya agano na mauti, tumepatana na kuzimu; pigo lifurikalo litakapopita, halitatufikia sisi; kwa maana tumefanya maneno ya uongo kuwa kimbilio letu, tumejificha chini ya maneno yasiyo kweli;</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Ukifanya tu maneno ya uwongo kuwa kimbilio na kujificha chini ya maneno yasiyo kweli unajiingiza kwenye agano na mauti na mapatano na kuzimu.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Umeificha hiyo mimba kwa kuua, umeunyamazisha huo ukweli kwa kuua, haya sasa mauti ina wewe, kuzimu haikuachi.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Ila kuna habari njema hapa:</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Isaya 28: 16.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
16kwa ajili ya hayo Bwana, MUNGU, asema hivi, Tazama, naweka jiwe katika Sayuni, liwe msingi, jiwe lililojaribiwa, jiwe la pembeni lenye thamani, msingi ulio imara; yeye aaminiye hatafanya haraka.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Jiwe hili lililowekwa Sayuni ni Yesu Kristo na amewekwa mahususi kushughulika na hili agano na mauti, na haya mapatano na kuzimu.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Isaya 28: 18.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
18Na agano lenu mliloagana na mauti litabatilika, tena mapatano yenu mliyopatana na kuzimu hayatasimama; pigo lifurikalo litakapopita, ndipo ninyi mtakapokanyagwa nalo.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Njoo kwa Yesu ubatilishiwe hilo agano na mauti na kuangushiwa chini hayo mapatano na kuzimu.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
Mwendee Yesu na mwanga huu uliyoupata na ufunguliwe kabisa na athari mbaya za Hatia ya damu kwa Jina la Yesu. Usisahau kuvunja hilo agano na mauti na mapatano na kuzimu kwa Jina la Yesu ili uwe huru.</div>
</span><div style="text-align: justify;">
<span style="color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><br /></span></div>
<span style="background-color: white; color: #333333; font-family: 'lucida grande', tahoma, verdana, arial, sans-serif; font-size: 13px; line-height: 17.940000534057617px;"><div style="text-align: justify;">
UMEBARIKIWA NA UMEREHEMIWA.</div>
</span>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-44750545576541268092014-02-11T19:00:00.000+03:002014-02-11T19:00:31.606+03:00Justin Bieber Tried to Get Baptized, 'Cleansed' at Hillsong NYC Church?<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1YCmfmBxgm7DfVArP4A_8K2yHzixvMQ860EGhJ9Cm4PpmxXRl7cKxgpMmNdpGcyVBHvL_aloxEpEYDRo0OkDBaxyfoqoq-1VGmUMW9z4JzeoMhu6mveN0xyrAR_veaIxiuGOLmoGFfbw/s1600/justin-bieber-prays.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh1YCmfmBxgm7DfVArP4A_8K2yHzixvMQ860EGhJ9Cm4PpmxXRl7cKxgpMmNdpGcyVBHvL_aloxEpEYDRo0OkDBaxyfoqoq-1VGmUMW9z4JzeoMhu6mveN0xyrAR_veaIxiuGOLmoGFfbw/s1600/justin-bieber-prays.jpg" height="320" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><b><span style="font-size: small;">Justin Bieber prays with Hillsong NYC pastor Carl Lentz and The City Church pastor Judah Smith</span></b> </td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
Justin Bieber, seen recently in an X-rated photo with an adult dancer, reportedly scoured New York City over the weekend for a private pool where he could be baptized through Hillsong NYC church, led by his close friend Pastor Carl Lentz.<br /><br />"Justin and his team spent time on Saturday searching for a place with a pool where they could conduct a baptism for him, a cleansing ritual, with the Hillsong Church. But they couldn't find a place in time," one person, among "multiple sources," told the New York Post's Page Six.<br /><br />The publication reports a second source as saying, "Justin is serious about his Christian faith, and after recent events, he needed to take a pause."<br /><br />Bieber, reportedly in NYC on Saturday for Maxim magazine's Super Bowl party, was apparently unsuccessful in finding a place to be baptized.<br /><br />Baptism, either through sprinkling of water or full immersion, is observed by Christians who choose to publicly show their belief in Jesus Christ as lord and savior. The religious ritual is also cast as one "dying" to a life of sin and being "resurrected" to a new life based on following Christ.</div>
<div style="text-align: justify;">
</div>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_z8GasXIs97yRYiIz2Yq1T1PpjSp6n1NUK2ZkqmNf4ly3JyvhoA80pJkmftMrDS_Xq-SlcVA7icVVh0AxFcDle8w7NXd6Kd59_UJVR6MGaY6W5rtXMlNOhZFph9u3mZJo5N7VdbCa30k/s1600/Justin+lentz-judah-smith.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh_z8GasXIs97yRYiIz2Yq1T1PpjSp6n1NUK2ZkqmNf4ly3JyvhoA80pJkmftMrDS_Xq-SlcVA7icVVh0AxFcDle8w7NXd6Kd59_UJVR6MGaY6W5rtXMlNOhZFph9u3mZJo5N7VdbCa30k/s1600/Justin+lentz-judah-smith.jpg" height="400" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small;"><b><i>Hillsong NYC Pastor Carl Lentz and The City Church Pastor Judah Smith
show some love for their friend, Justin Bieber in this photo Smith
shared on Instagram</i></b></span></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
Hillsong NYC, founded in 2010, holds services at the Irving Plaza concert venue and has baptized members in the rooftop pool of the Gansevoort Hotel, as seen in a video published online.<br /><br />Bieber, 19, has visited Hillsong NYC in the past, most recently in September, when he tweeted how he "broke down" after hearing an "amazing sermon" by the megachurch's pastor, Carl Lentz, also a friend of the Canadian singer.<br /><br />Bieber has shared photos of his time with Lentz outside of church, including one photo of the pop star and Lentz having lunch and "talking 'bout our savior Jesus Christ."<br /><br />Bieber, who has spoken numerous times over the years about believing in Jesus Christ, raised concern among some observers last week when what had been seen as a series of questionable behavior resulted in his arrest in Miami, Fla.<br /><br />Bieber and R&B singer Khalil Sharieff were caught allegedly drag racing, with the Canadian crooner eventually charged with drunken driving, resisting arrest and driving without a valid license. According to a toxicology report, Bieber had marijuana and Xanax in his system, which lined up with what the teen purportedly told officers, who say he cursed at one of them when he was pulled over.<br /><br />Some Christians reached out to both Pastor Lentz and Judah Smith, The City Church leader whom Bieber has called his pastor, in concern for the star.<br /><br />"Hey @judahsmith I think you need to get your boy Bieber back in church. He needs guidance," tweeted Shawn Raley, a youth minister at Oak Grove Christian Church, according to his bio on the social network.<br /><br />A Christian blogger asked of Pastor Smith, "How many more of these @justinbieber incidents have to occur before you admit he is not displaying the fruit of regeneration?"<br /><br />Smith has said in interviews that he does his best to encourage Bieber, whom he has called "a spectacular young man."</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-72337007614328509192014-02-10T18:30:00.000+03:002014-02-10T18:30:12.509+03:00Living Waters Featuring Delicia Robertson<iframe width="100%" height="450" scrolling="no" frameborder="no" src="https://w.soundcloud.com/player/?url=https%3A//api.soundcloud.com/tracks/108498251&auto_play=false&hide_related=false&visual=true"></iframe>Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-57995855018177032602014-02-10T18:04:00.000+03:002014-02-10T18:04:34.900+03:00Viongozi wa Dini ndani ya Bunge la Katiba<div style="text-align: justify;">
Kaimu Katibu Mkuu Kiongozi ambaye pia ni Katibu mkuu ofisi ya Waziri Mkuu Florence Turuka ametangaza wajumbe 201 watakao wakilisha wajumbe kwenye Bunge la Katiba linalotarajiwa kufanyika Februari 18 mwaka huu.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />Wajumbe hao wamegawanyika katika makundi 10 ambao kati ya hao,kundi la wajumbe 20 litawakilisha taasisi za Dini katika Bunge hilo.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />Taasisi nyingine ni pamoja na Taasisi zisizokuwa za Kiserikali wajumbe (20)Vyama vyote vya kisiasa vyenye usajili wa kudumu(42),Taasisi za elimu (20),Watu wenye ulemavu (20), Vyama vya wafanyakazi (19),Vyama vinavyo wakilisha wafugaji(10), Vyama vinavyo wakilisha wavuvi(10), Vyama vya wakulima(20) naVyama vya watu wenye malengo yanayofanana(20)</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />Makundi hayo yanajumuishwa na wabunge wote wa Bunge la Jamhuri ya Muungano na Wajumbe wote wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar na ufanya idadi ya wabunge wa Bunge la Katiba kufikia 64.Kwa upande wa taasisi za Dini kwa upande wa Tanzania Bara (13) ni Askofu Mkuu Mstaafu wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dr.Donald Leo Mtetemela,Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Ernest Kadiva amabaye pia ni Katibu mkuu Utawala,Utumishi na Milki waDayosisi ya Mashariki na Pwani.Wengine ni Profesa Costa Rick Mahalu,Mussa Yususfu Kandecha,Askofu Amos J .Muhagachi,Magdalena Songora,Sheikh Hamid Masoud Jongo,Shamim Khan,Tamrina Manzi,Respa Adam Miguma,Easter Msambazi,Hamis Ally Togwa,Olive Damian Luwena.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />Kwa Upande wa Tanzania Zanzibar (7) Shekh Thabit Nouman Jongo,Shekh Nassoro,Shekh Nassoro Mohamed Ibrahimu,Louis Majaliwa,Suzana Peter Kunambi,Fatma Mohammed Hassan na Yasmin Yusufali E. Halloo.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br />Awali taasisi za kidini zilizo peleka mapendekezo li kuchaguliwa kuingia kwenye Bunge la Katiba kwa Upande wa Tanzania Bara zilikuwa 246 na upande wa Zanzibar zilikuwa 98.Idadi ya watu waliopendekezwa kuingia katika Bunge la Katiba Tanzania Bar walikuwa 1,203 ambao ni watu 13 tu ndio waliopata nafasi ya kuchaguliwa.Kwa upande wa Zanzibar watu waliokuwa wamependekezwa na taasisi zao waliuwa 444, ambao wajumbe (7) kati ya hao ndi walioweza kupata nafasi ya kweda kutoa mchago katika Bunge hilo</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-91295254097400990302014-02-06T18:42:00.000+03:002014-02-06T18:42:18.680+03:00 Protestant Churches to Hold 'Day of Prayer' for South Sudan, Ask for Peace and Justice in Violence-Ridden Nation<table cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="float: right; margin-left: 1em; text-align: right;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcNGo6rlNy2xvJ0NvE0ku3bWDCJaEqGMzzhG9s_90wnYn1cOcmIcVxuXmt5va5pzgY012_-1mgHwwjjc7Di9GGnb8asJocTlC3xF2qEbPRxkZn1cspX3FZ3wb4vTeccC3JCWafRRoqDms/s1600/1.jpg" imageanchor="1" style="clear: right; margin-bottom: 1em; margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcNGo6rlNy2xvJ0NvE0ku3bWDCJaEqGMzzhG9s_90wnYn1cOcmIcVxuXmt5va5pzgY012_-1mgHwwjjc7Di9GGnb8asJocTlC3xF2qEbPRxkZn1cspX3FZ3wb4vTeccC3JCWafRRoqDms/s1600/1.jpg" height="201" width="320" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small;"><i><b> People are gathered Catholic church in Malakal, South Sudan</b></i></span></td></tr>
</tbody></table>
<div style="text-align: justify;">
Protestant Churches in the United States and abroad have called for a "Day of Prayer for South Sudan" in response to the recent news of a ceasefire in the violence-ridden nascent nation.<br /><br />Presbyterian Church (USA), The Episcopal Church, and the Reformed Church in America have issued calls to their members to pray for South Sudan on Sunday, February 16.<br /><br />Gradye Parsons, Stated Clerk of the PC (USA) General Assembly, said in a recently released statement that the Republic of South Sudan needs their prayers and support during this time.<br /><br />"The ceasefire that went into effect in South Sudan on January 23 provides a sign of hope," said Parsons. "Our brothers and sisters need our prayer and support as they seek to move into a future of justice and peace."<br /><br />PC (USA) has also called on members to lobby in Washington for the cause and to donate to a disaster relief effort specifically set up for South Sudan.<br /><br />"God of reconciliation, we ask you to send your Spirit of unity and peace to guide the people and the leaders of South Sudan from violence and into the paths of peace and justice," reads the text of suggested prayer for Feb. 16 in part. "Strengthen them with the power of your Holy Spirit as they witness to the strong love of Christ, advocating for peace and justice in a situation that is only hopeful because we follow a resurrected Christ."<br /><br />The Republic of South Sudan gained independence in July 2011 due to a referendum overwhelmingly approved by voters. Created from the ten southernmost states of the Republic of Sudan, South Sudan became immersed in a violent political conflict last December.<br /><br />Having endured decades of civil war before independence, the recent wave of violence has led to an estimated 1,000 deaths and as many as 500,000 displaced.<br /><br />Episcopal Church Presiding Bishop Katharine Jefferts Schori noted in a statement: "The world is increasingly concerned over the rampant violence in South Sudan."<br /><br />"The recent increase in armed conflict, murder, and mayhem has been fomented in part by inaccurate reports of tribal partisanship. The new nation needs peace, in order that all its people might thrive," said Jefferts Schori. "The Episcopal Church of Sudan is partnering with others on the ground in that work of peace-building. The Sudanese communities within our own Episcopal Church have been important and effective leaders in this work."</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-20547863071576710482014-02-06T18:25:00.000+03:002014-02-06T18:25:21.427+03:00Creflo Dollar Ministries celebrates 28 years with Matthew Ashimolowo<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioJGS7QpWeEr0rk2G_zLQlw6BqaQVj23QZnxWNv7hpvktQ4KLwtOYcxrGezJgvlT7RtkiihL-RgvFFEhTfTBucNo7NtDejL132m63NtO7b2BF_9ISxF1Go54dtM9y7vI29wayayrMeTew/s1600/2.jpg" style="clear: right; float: right; margin-bottom: 1em; margin-left: 1em;"><br /></a>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj97mdng_Fiuf-SF87uMmSS4f-r4dmTXNVbHqm9KbALEoF630zMKLIZKuElVJwGlxdxcZiIOCPs1MU6sH9Xfd52IizCUT31iL72RFEVIOiJshmZ3MFX3LhLMHcfJClFVoygtA7k6A0rQgg/s1600/1.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj97mdng_Fiuf-SF87uMmSS4f-r4dmTXNVbHqm9KbALEoF630zMKLIZKuElVJwGlxdxcZiIOCPs1MU6sH9Xfd52IizCUT31iL72RFEVIOiJshmZ3MFX3LhLMHcfJClFVoygtA7k6A0rQgg/s1600/1.jpg" height="400" width="265" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwjWxnAUzspgtfA1bR2Jw_2NKTQ1yZAvSw7RHxmBoSCBy8wwsFfxHyRWmMIc2hALZr4P16mOl__2aSe1MbTosZTxPyR3rqVqxsIS0bm5SRO0TD7w-hBlZiZKbIu0B86ArV0tbukgFmL0Q/s1600/3.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEgwjWxnAUzspgtfA1bR2Jw_2NKTQ1yZAvSw7RHxmBoSCBy8wwsFfxHyRWmMIc2hALZr4P16mOl__2aSe1MbTosZTxPyR3rqVqxsIS0bm5SRO0TD7w-hBlZiZKbIu0B86ArV0tbukgFmL0Q/s1600/3.jpg" height="400" width="262" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioJGS7QpWeEr0rk2G_zLQlw6BqaQVj23QZnxWNv7hpvktQ4KLwtOYcxrGezJgvlT7RtkiihL-RgvFFEhTfTBucNo7NtDejL132m63NtO7b2BF_9ISxF1Go54dtM9y7vI29wayayrMeTew/s1600/2.jpg" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioJGS7QpWeEr0rk2G_zLQlw6BqaQVj23QZnxWNv7hpvktQ4KLwtOYcxrGezJgvlT7RtkiihL-RgvFFEhTfTBucNo7NtDejL132m63NtO7b2BF_9ISxF1Go54dtM9y7vI29wayayrMeTew/s1600/2.jpg" height="265" width="400" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><br /></td></tr>
</tbody></table>
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
</div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggT4AU80AiSpCUV6Xz7FRGh6V-PvnOQlrzaRs5aYANUq7LEPycKNJDjZ6v_iTljTJ0E2t2gemnRvAQ_qop3gwOnCiSvHvCP3CPPAuyrdhSNZpNcDvQYqQ9TkxUahy-Wo6acXdOVp18Zn4/s1600/4.jpg" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEggT4AU80AiSpCUV6Xz7FRGh6V-PvnOQlrzaRs5aYANUq7LEPycKNJDjZ6v_iTljTJ0E2t2gemnRvAQ_qop3gwOnCiSvHvCP3CPPAuyrdhSNZpNcDvQYqQ9TkxUahy-Wo6acXdOVp18Zn4/s1600/4.jpg" height="266" width="400" /></a></div>
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioJGS7QpWeEr0rk2G_zLQlw6BqaQVj23QZnxWNv7hpvktQ4KLwtOYcxrGezJgvlT7RtkiihL-RgvFFEhTfTBucNo7NtDejL132m63NtO7b2BF_9ISxF1Go54dtM9y7vI29wayayrMeTew/s1600/2.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><br /></a></div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-41464661724211759122014-02-06T17:39:00.000+03:002014-02-06T17:39:24.504+03:00Uwepo wa Mungu Bila Neno la Mungu hauwezi kufanya Lolote katika Maisha yako <div style="text-align: justify;">
<table align="center" cellpadding="0" cellspacing="0" class="tr-caption-container" style="margin-left: auto; margin-right: auto; text-align: center;"><tbody>
<tr><td style="text-align: center;"><a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlLJLd-wsuvzl8zcjBm_SpXeEN_zP-H4g3j78qcGi01DSobwQ1Z4z3W2NQNass9kIuEjUYV5SSTlnzr9AaftrMeldLSBjuwa1A-defkgIsoZGWqEc8y0HGxDRRCATbKVlAm-Vp0KnA27k/s1600/Pastor+Caros++Kirimbai.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: auto; margin-right: auto;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjlLJLd-wsuvzl8zcjBm_SpXeEN_zP-H4g3j78qcGi01DSobwQ1Z4z3W2NQNass9kIuEjUYV5SSTlnzr9AaftrMeldLSBjuwa1A-defkgIsoZGWqEc8y0HGxDRRCATbKVlAm-Vp0KnA27k/s1600/Pastor+Caros++Kirimbai.jpg" height="426" width="640" /></a></td></tr>
<tr><td class="tr-caption" style="text-align: center;"><span style="font-size: small;"><b><i><span class="irc_su" dir="ltr" style="text-align: left;">Pastor Carlos Kirimbai Manna Tabernacle Bible Church</span></i></b></span></td></tr>
</tbody></table>
</div>
<div style="text-align: justify;">
Moja ya vitu ambavyo watu wa Mungu tunasahau sana kuhusu Mungu wetu ni
kwamba Mungu hafanyi vitu kwa uwepo Wake bali Mungu anafanya vitu kwa
neno Lake.</div>
<div style="text-align: justify;">
<br /> Iko kama tunasahau hili andiko hapa:<br /> <br /> Hapo
mwanzo kulikuwako Neno, naye Neno alikuwako kwa Mungu, naye Neno alikuwa
Mungu. Huyo mwanzo alikuwako kwa Mungu. Vyote vilifanyika kwa huyo;
wala pasipo yeye hakikufanyika cho chote kilichofanyika. (YN. 1:1-3
SUV).<br /> <br /> Tunaona kwenye hiyo mistari hapo juu kuwa vyote
vilifanyika kwa neno wala pasipo neno hakuna kilichofanyika ambacho
kilifanyika. Kama vyote vinafanyika kwa neno na kama hakuna
kilichofanyika ambacho hakikufanyika kwa neno ina maana hakuna
kilichobaki ambacho kilifanywa na uwepo wa Mungu. Vyote vilifanywa na
neno la Mungu.<br /> <br /> Uwepo wa Mungu ni wa muhimu sana maana ndo nguvu
inayofanya neno la Mungu liweze kufanya kazi lakini kitendea kazi cha
Mungu kikuu ni neno Lake.<br /> <br /> Mara nyingi tukiwa kwenye wakati wetu
binafsi na Mungu labda katika kuomba au kuabudu au vinginevyo, au
tunapokuwa kwenye ibada au faragha zetu za pamoja kama watu wa Mungu,
uwepo wa Mungu unaweza kujidhihirisha alafu tukaishia kuuitikia huo
uwepo kihisia tu kwa machozi, kulia kwingi, na haleluyah nyingi bila ya
kutambua kuwa wakati wowote uwepo wa Mungu unapojidhihirisha,
unajidhihirisha kwa kusudi fulani na huo uwepo ili utimize hilo kusudi
unadai neno la Mungu lisemwe ili kusudi la Mungu liweze kuachiliwa.<br /> <br /> Nataka uone mfano halisia hapa:<br /> <br />
Hapo mwanzo Mungu aliziumba mbingu na nchi. Nayo nchi ilikuwa ukiwa,
tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa vilindi vya maji; Roho ya
Mungu ikatulia juu ya uso wa maji. (MWA. 1:1, 2 SUV).<br /> <br /> Maandiko
yanasema nchi ilikuwa ukiwa, tena utupu, na giza lilikuwa juu ya uso wa
vilindi vya maji. Cha ajabu pamoja na giza, ukiwa na utupu, Roho wa
Mungu alikuwepo lakini alikuwa ametulia juu ya uso wa maji.<br /> <br />
Fikiria kama kitabu cha mwanzo kingeishia hapo. Mpaka leo hivi
unavyosoma maneno haya kungekuwa na giza, ukiwa na utupu japo uwepo wa
Mungu upo. Kuwepo kwa uwepo wa Mungu mahali au hata wewe kuuhisi uwepo
wa Mungu sio guarantee ya badiliko lolote kutokea maishani mwako. Uwepo
unaweza ukawepo, ukawa unausikia kabisa upako lakini bado ikawa giza,
ukiwa na utupu maishani mwako. Mungu yupo, uwepo Wake upo, upako Wake
upo lakini umetulia, haufanyi chochote na kwa kuwa umetulia haufanyi
chochote kila kitu kitabaki vile vile kama kilivyokuwa. Kinachofanya
uwepo wa mungu uingie kazini ni Neno la Mungu tena lililotamkwa.<br /> <br /> Lakini ukiendelea kusoma kuanzia mstari wa tatu Mungu akaanza kusema na hapo ndipo mambo yalipoanza kubadilika. <br /> <br />
Uwepo wa Mungu bila neno la Mungu hauwezi kubadilisha kitu chochote.
Uwepo wa Mungu unadai matamko ya neno la Mungu ili mabadiliko yaweze
kutokea. Ni kosa kubwa sana uwepo wa Mungu kujidhihirsha mahali alafu
kitu cha pekee ambacho tunafanya ni kubaki tu kuuitikia kihisia kwa
kulia, kutokwa tu machozi, kupiga magoti, kusujudu, kulala kifudifudi,
kuabudu, kusifu, kucheza na vitu kama hivyo ambavyo watoto wa Mungu hua
tunafanya. Uwepo wa Mungu unadai neno la Mungu litamkwe. Hata katika
maombi uwepo ukijidhihirisha unadai neno litamkwe ili ufanye kazi. Ni
kazi ya Roho Mtakatifu kuhuisha ndani yetu neno la kutamka au maneno ya
kutamka toka katika neno la Mungu kila uwepo wa Mungu unapojidhihirisha.
Ataweka ndani yako andiko au maandiko na atataka uyatamke au katika
maombi au katika kutabiri na kutangaza ili sasa aweze kuingia kazini
kulitimiza ulisemalo kwa kuvuviwa Naye.<br /> <br /> Nikuonyeshe mfano mwingine:<br /> <br />
Mkono wa BWANA ulikuwa juu yangu, naye akanichukua nje katika roho ya
BWANA, akaniweka chini, katikati ya bonde; nalo limejaa mifupa;
akanipitisha karibu nayo pande zote; na tazama, palikuwa na mifupa mingi
katika ule uwanda! Nayo, tazama, ilikuwa mikavu sana. Akaniambia,
Mwanadamu, je! Mifupa hii yaweza kuishi? Nami nikajibu, Ee Bwana MUNGU,
wajua wewe. Akaniambia tena, Toa unabii juu ya mifupa hii, uiambie, Enyi
mifupa mikavu, lisikieni neno la BWANA. Bwana MUNGU aiambia mifupa hii
maneno haya; Tazama, nitatia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi. Nami
nitatia mishipa juu yenu, nami nitaleta nyama iwe juu yenu, na
kuwafunika ngozi, na kutia pumzi ndani yenu, nanyi mtaishi; nanyi mtajua
ya kuwa mimi ndimi BWANA. Basi nikatoa unabii kama nilivyoamriwa; hata
nilipokuwa nikitoa unabii, palikuwa na mshindo mkuu; na tazama, tetemeko
la nchi, na ile mifupa ikasogeleana, mfupa kwa mfupa mwenziwe.
Nikatazama, kumbe! Kulikuwa na mishipa juu yake, nyama ikatokea juu
yake, ngozi ikaifunika juu yake; lakini haikuwamo pumzi ndani yake.
Ndipo akaniambia, Tabiri, utabirie upepo, mwanadamu, ukauambie upepo,
Bwana MUNGU asema hivi; Njoo, kutoka pande za pepo nne, Ee pumzi,
ukawapuzie hawa waliouawa, wapate kuishi. Basi nikatabiri kama
alivyoniamuru; pumzi ikawaingia, wakaishi, wakasimama kwa miguu yao,
jeshi kubwa mno. (EZE. 37:1-10 SUV).<br /> <br /> Nataka uone kuwa uwepo wa
Mungu ambao hapa unaitwa mkono wa Mungu ulikuwa umemfunika Ezekieli.
Nataka pia uone alipelekwa na Mungu mpaka kwenye lile bonde la mifupa
mikavu. Nataka pia uone kuwa kwenye lile bonde hakuwa Ezekieli peke
yake. Alikuwa pamoja na Mungu pale. Lakini pamoja na uwepo wa Mungu
kuwepo ili mifupa iliendelea kuwa mikavu vile vile. Mungu akamwuliza
Ezekieli mifupa hii yaweza kuishi, Ezekieli akshindwa kutoa jibu akasema
wewe wajua. Mungu akamwelekeza neno la kutamka pale kwenye lile bonde
akatamka ili mifupa ikaunga mfupa kwa mfupa mwenzake ikabeba nyama na
misuli na ngozi. Sijui unaona kuwa sio uwepo wa Mungu peke yake
uliyofanya haya. Ni uwepo wa Mungu na neno la Mungu kwa pamoja ndo
viliyafanya haya na neno la Mungu lililosababisha mabadiliko lilitoka
katika kinywa cha binadamu. Cha muhimu tu kuona hapa mwanadamu huyu
hakusema ayatakayo yeye, alipewa na Mungu ya kutamka. Uwepo wa Mungu
ukijidhihirisha mahali popote hapa duniani unadai neno la Mungu toka
kwenye kinywa cha mwanadamu ili uweze kufanya kitu. Baadaye lile bonde
la mifupa liligeuka kuwa bonde la watu lakini wasio na uhai. Bado Mungu
akampa neno pa kuutabiria upepo akautabiria ukaja ukawapulizia hao
waliojaa kwenye hilo bonde likainuka jeshi kubwa.<br /> <br /> Tunaona wazi Uwepo wa Mungu + Neno la Mungu= Matokeo yanayokusudiwa.<br /> <br />
Kumbuka ni mara ngapi maishani mwako uwepo wa Mungu umejidhihirisha
alafu hukujua cha kufanya nao kwa hiyo ukapita tu bila kuacha kitu
chochote.<br /> <br /> Nikuonyeshe tena mfano mwingine:<br /> <br /> Baada ya
hayo utafika Gibea ya Mungu, hapo palipo na ngome ya Wafilisti; kisha
itakuwa, utakapofika mjini, utakutana na kundi la manabii wakishuka
kutoka mahali pa juu, wenye kinanda, na tari, na kinubi, na filimbi
mbele yao, nao watakuwa wakitabiri; na roho ya BWANA itakujilia kwa
nguvu, nawe utatabiri pamoja nao, nawe utageuzwa kuwa mtu mwingine.
Basi, hapo ishara hizi zitakapokutukia, fanya kama uonavyo vema; kwa
kuwa Mungu yu pamoja nawe. (1 SAM. 10:5-7 SUV).<br /> <br /> Sijui unaona
ninachoona. Sauli alitakiwa atakapokutana na manabii ajue kuwa Roho wa
Mungu atamjilia kwa nguvu lakini sio kule kujiliwa kwa nguvu ndiko
kutakako mbadilisha kuwa mtu mwingine ni kile asemacho baada ya kujiliwa
kwa nguvu na Roho wa Mungu. Tena anaambiwa ishara hizo zitamthibitishia
kuwa Mungu yupo na yeye ila asipofanya kitu hataona matokeo hata kama
Mungu yupo. Ndo maana akaambiwa akiona ishara hizo zote afanye aonavyo
vema maana Mungu yupo pamoja naye. Usichezee tu uwepo wa Mungu Fanya
kitu, sema kitu utaona matokeo.<br /> <br /> Moja ya maandiko ambayo watu wa Mungu wanayanukuu vibaya sana inapokuja kwenye maswala ya uwepo ni andiko lifuatalo:<br /> <br />
hata ikawa, wenye panda na waimbaji walipokuwa kama mmoja,
wakisikizisha sauti moja ya kumsifu na kumshukuru BWANA nao wakipaza
sauti pamoja na panda na matoazi na vinanda, wakimsifu BWANA, wakisema,
Kwa kuwa ni mwema; kwa maana fadhili zake ni za milele; ndipo nyumba
ikajawa na wingu, naam, nyumba ya BWANA, hata makuhani hawakuweza
kusimama ili kufanya huduma yao, kwa sababu ya lile wingu; kwa kuwa
nyumba ya Mungu imejaa utukufu wa BWANA. (2 NYA. 5:13, 14 SUV).<br /> <br />
Tunasema kuwa uwepo wa Mungu unajidhihirsha mpaka mtumishi ameshindwa
kulihudumu neno. Ila hawa makuhani hapa hawakuwa wanalihudumu neno. Wao
walikuwa wanafanya ibada za utoaji sadaka na dhabihu na kuihudumia
madhabahu. Tunatafsiri kuwa uwepo wa Mungu unatosha hatuhitaji neno. How
wrong we are. Nimekuonyesha kuwa uwepo wa Mungu bila neno la Mungu
hauwezi kufanya lolote. Matokeo yake uwepo unakuja tunabaki kulia,
kusujudu, kulala kifudi fudi alafu ukishapita hamna kitu umefanya.
Kwanini? Hatukujua tufanye nini na uwepo wa Mungu.<br /> <br /> Ona huu mfano wa mwisho:<br /> <br />
Petro na wale waliokuwa pamoja naye walikuwa wamelemewa na usingizi;
lakini walipokwisha amka waliuona utukufu wake, na wale wawili
waliosimama pamoja naye. Ikawa hao walipokuwa wakijitenga naye, Petro
alimwambia Yesu, Bwana mkubwa, ni vizuri sisi kuwapo hapa; na tufanye
vibanda vitatu; kimoja chako wewe, na kimoja cha Musa, na kimoja cha
Eliya; hali hajui asemalo. (LK. 9:32, 33 SUV).<br /> <br /> Uwepo wa Mungu ulipojidhihirisha hapa Petro alizungumza maneno huku hajielewi.<br /> <br />
Mara ngapi uwepo unajidhihirisha ama katika muda wetu binafsi wa
kuomba, kuabudu au vinginevyo au tunapokuwa tumekusanyika kwa pamoja
alafu hatujui tufanyaje sie. Naamini baada ya somo hili fupi utakuwa
makini zaidi na uwepo wa Mungu unapojidhihirisha.<br /> <br /> Asomaye afahamu.</div>
Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-38497793178750417792014-02-04T17:43:00.001+03:002014-02-04T17:43:20.275+03:00Bamba Beach Season 3 Organised by CCC Upanga Youth Ministry <div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5fJ4e8XRyT9hXI7s0zG0Tltfbar9kYOiT_6f45cU-p-yERoFrY_e7y1sQlMoto92rFgRkLtaAAZ6lCxFH_McIPVP7ccHgiyjJSbyDtWG8jgX2NK8HRkQcMBfnntG9yBFXJk24S7urQe0/s1600/CCC.jpg" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj5fJ4e8XRyT9hXI7s0zG0Tltfbar9kYOiT_6f45cU-p-yERoFrY_e7y1sQlMoto92rFgRkLtaAAZ6lCxFH_McIPVP7ccHgiyjJSbyDtWG8jgX2NK8HRkQcMBfnntG9yBFXJk24S7urQe0/s1600/CCC.jpg" height="480" width="640" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-82096528833295252432014-02-03T17:12:00.000+03:002014-02-03T17:38:51.514+03:00Nape Moses Nnauye aaswa kumtanguliza Mungu<span class="st"> </span><!--[if gte mso 9]><xml>
<w:WordDocument>
<w:View>Normal</w:View>
<w:Zoom>0</w:Zoom>
<w:PunctuationKerning/>
<w:ValidateAgainstSchemas/>
<w:SaveIfXMLInvalid>false</w:SaveIfXMLInvalid>
<w:IgnoreMixedContent>false</w:IgnoreMixedContent>
<w:AlwaysShowPlaceholderText>false</w:AlwaysShowPlaceholderText>
<w:Compatibility>
<w:BreakWrappedTables/>
<w:SnapToGridInCell/>
<w:WrapTextWithPunct/>
<w:UseAsianBreakRules/>
<w:DontGrowAutofit/>
</w:Compatibility>
<w:BrowserLevel>MicrosoftInternetExplorer4</w:BrowserLevel>
</w:WordDocument>
</xml><![endif]--><br />
<!--[if gte mso 9]><xml>
<w:LatentStyles DefLockedState="false" LatentStyleCount="156">
</w:LatentStyles>
</xml><![endif]--><!--[if gte mso 10]>
<style>
/* Style Definitions */
table.MsoNormalTable
{mso-style-name:"Table Normal";
mso-tstyle-rowband-size:0;
mso-tstyle-colband-size:0;
mso-style-noshow:yes;
mso-style-parent:"";
mso-padding-alt:0in 5.4pt 0in 5.4pt;
mso-para-margin:0in;
mso-para-margin-bottom:.0001pt;
mso-pagination:widow-orphan;
font-size:10.0pt;
font-family:"Times New Roman";
mso-ansi-language:#0400;
mso-fareast-language:#0400;
mso-bidi-language:#0400;}
</style>
<![endif]-->
<br />
Kiongozi wa Kanisa la Living Water Centre Apostle Onesmo Ndegi alimuasa Nape Nnauye Katibu Mwenezi wa Itikadi wa Chama Cha Mapindizi (CCM) hivi karibuni Kanisani kawe kiongozi huyo alipohudhulia Ibada kuambiwa kumtanguliza Mungu Katika Shughuli zake za Kisiasa.<br />
<br />Nape ambaye ameokoka alitakiwa kuonekana tofauti na Viongozi wengine katika kufanya maamuzi hadi mambo wanayofanya huko katika chama Chao alisema Apostle Ndegi.<br />
<br />Baada ya Ibada Apostle Ndegi na wachungaji wengine kanisani hapo walipata kumuombea Nape ili Mungu ahusike naye katika shughuli za Kichama atakapo kuwa. <br /><br />
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZ4xkUBfP_USniJ7oc9dykD_dLMP5y9_4KYsgWV4R2b_tvhG_cb1Sc6x5qjmhFobRts3vXDqw_acDJLWjb52bjaXuMq6vZSzKOob-n4HOnNT9tV0Wz24k1d5i-sbDu0stj7ImEgnmhks4/s1600/DSCF5603.JPG" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZ4xkUBfP_USniJ7oc9dykD_dLMP5y9_4KYsgWV4R2b_tvhG_cb1Sc6x5qjmhFobRts3vXDqw_acDJLWjb52bjaXuMq6vZSzKOob-n4HOnNT9tV0Wz24k1d5i-sbDu0stj7ImEgnmhks4/s1600/DSCF5603.JPG" height="546" width="640" /></a></div>
<br />
<br />
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjX2qBFrwnbOVjz_kSKm0DmUMGkRbYPwRg8fqBFsW-Hn-hcMA4ShvMKjOEGQNZLoiPpp9BOBZeZz0SovV-WMf0Vvtc15Klw9uBPPBpe1-fPPKh8uvySXrbSnojNfBSfuwQUzQQAMGuTN1E/s1600/DSCF5607.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjX2qBFrwnbOVjz_kSKm0DmUMGkRbYPwRg8fqBFsW-Hn-hcMA4ShvMKjOEGQNZLoiPpp9BOBZeZz0SovV-WMf0Vvtc15Klw9uBPPBpe1-fPPKh8uvySXrbSnojNfBSfuwQUzQQAMGuTN1E/s1600/DSCF5607.JPG" height="480" width="640" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjZ4xkUBfP_USniJ7oc9dykD_dLMP5y9_4KYsgWV4R2b_tvhG_cb1Sc6x5qjmhFobRts3vXDqw_acDJLWjb52bjaXuMq6vZSzKOob-n4HOnNT9tV0Wz24k1d5i-sbDu0stj7ImEgnmhks4/s1600/DSCF5603.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><br /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsj5bhc4bDBi9ojkzIkzyfVO9ykn2Hk98m7CsaGi-O99cfsmV1sZlgP6Jci50klsZe9k_yrmXfWtEJPllBrmkbS_Ca5YbMQ5gCCem46UI8E42BzbcPse98JvO7-WXW2tndsk57F8mH9KQ/s1600/DSCF5609.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsj5bhc4bDBi9ojkzIkzyfVO9ykn2Hk98m7CsaGi-O99cfsmV1sZlgP6Jci50klsZe9k_yrmXfWtEJPllBrmkbS_Ca5YbMQ5gCCem46UI8E42BzbcPse98JvO7-WXW2tndsk57F8mH9KQ/s1600/DSCF5609.JPG" height="640" width="480" /></a></div>
<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<a href="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirSIywh2a3gzq5BjUEMrcfJtVUjAy6CCB5xd0beGuphLaE-aqYT-vU6WStwvDdkQYibYx65i6-Ig_0WPnLhOKlPhqoJaZ4Vd8F_B1RCxTRwmNzoqRfX3XDIq1UfjXWUSwSEOw897BR8ig/s1600/DSCF5611.JPG" imageanchor="1" style="margin-left: 1em; margin-right: 1em;"><img border="0" src="https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEirSIywh2a3gzq5BjUEMrcfJtVUjAy6CCB5xd0beGuphLaE-aqYT-vU6WStwvDdkQYibYx65i6-Ig_0WPnLhOKlPhqoJaZ4Vd8F_B1RCxTRwmNzoqRfX3XDIq1UfjXWUSwSEOw897BR8ig/s1600/DSCF5611.JPG" height="488" width="640" /></a></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0tag:blogger.com,1999:blog-2282650864570524067.post-25183796963241317032014-01-28T18:46:00.002+03:002014-01-28T18:46:45.289+03:00Wimbo mpya wa Rose Mhando - Walolo<div class="separator" style="clear: both; text-align: center;">
<iframe allowfullscreen='allowfullscreen' webkitallowfullscreen='webkitallowfullscreen' mozallowfullscreen='mozallowfullscreen' width='320' height='266' src='https://www.youtube.com/embed/NVtw0hG60rw?feature=player_embedded' frameborder='0'></iframe></div>
<br />Unknownnoreply@blogger.com0