Samueli Sasali The Blogger angia katika majukumu ya ndoa rasmi baada ya Kufunga ndoa na Milembe John Madaha.


Mr & Mrs Sasali Jr
Mr & Mrs Sasali Senior wakipokea keki kutoka kwa Mkwe Milembe

Prosper Mwakitalima akipokea keki
Uncle Jimmy Temu

Christian Bloggers walikuwepo kuwakilisha na kutoa zawadi yao kwa The Blogger Sasali,hao ni baadhi ya wachache walio wawakilisha wengi walioko mikoani na nje ya nchi.

mapaka chini.....



TBN Asks For Prayers Concerning Heart Problems of TBN Founder Dr. Paul Crouch

TBN Founder Dr. Paul Crouch  

Trinity Broadcasting Network broadcasted an announcement that its founder Paul Crouch Sr., age 79, had been hospitalized for a heart problem.

On its Facebook page, TBN posted:

Please join us in praying for Dr. Paul Crouch, who is currently in the hospital. Prayers for complete healing and quick recovery in Jesus name.
Crouch was hospitalized in 2011 for congestive heart failure. During that time Matthew Crouch, son of the network founders, took a picture of his mother Jan Crouch holding a letter showing that Matthew would be the next president of TBN.

Michael Koper, husband of Brittany Koper the former TBN CFO and granddaughter of the Crouches, filed a declaration in court stating:

    Apparently, Matthew Crouch and Jan Crouch were celebrating what they believed was Paul Crouch Sr.’s impending death and Matthew Crouch’s promotion to President of TBN that would subsequently occur.

Dr. Paul Crouch, founder and president of the Trinity Broadcasting Network (TBN), was taken to a Dallas area hospital on October 22 due to shortness of breath and breathing difficulties he experienced while at TBN’s Colleyville, Texas facility. Over the last decade, Dr. Crouch has been treated for a chronic heart condition and last year he received a pacemaker. He is resting comfortably while his doctors address his health needs and as he continues his recovery in the hospital.

Everyone associated with TBN, and especially Jan and the Crouch family, want to express their deep and sincere appreciation for the countless prayers and expressions of support and encouragement offered by TBN’s many friends and partners all over the world. At times like this we are reminded that God is truly manifest through love, and the love and kindness so many have expressed has been a great blessing. Thank you, and may God bless each one of you.

TBN broadcasts programs hosted by a diverse group of ministries from traditional Protestant and Catholic denominations, Interdenominational and Full Gospel churches, non profit charities, As of 2010, Paul Crouch is TBN’s President and Chairman, Jan Crouch is its vice-president and Director of Programming, and their son Matthew Crouch is Vice President.

The Trinity Broadcasting Network was co-founded by Paul Crouch, Jan Crouch, Jim Bakker and Tammy Faye Bakker in 1973 as Trinity Broadcasting Systems; the Bakkers would leave by 1975 to start their own ministry, The PTL Club. TBN began national distribution through cable television providers in 1978. The network was a member of the National Religious Broadcasters association until 1990.

Usiku Maalumu Kwa Wanandoa na Watarajiwa


Namba 666 yazua hofu kubwa Jijini Nairobi

Baadhi ya viongozi wa Kikristo nchini Kenya, wameonya kuwa vijana wa taifa hilo wako hatarini kufuatia kuanzishwa rasmi kwa kanisa la Shetani mjini Nairobi, linalojitangaza kwa njia mbalimbali kuwaalika waumini wakamtumikie Ibilisi, huku likitoa nambari zake za simu ambazo zinashabihiana na namba ya mpinga Kristo iliyotajwa katika Biblia kitabu cha Ufunuo wa Yohana sura ya 13.

Askofu wa Kanisa la Pentecoste mjini Nairobi, Joseph Wairuri, alionya kuwa  ikiwa kanisa la kweli la Kristo halitasimama imara kuwaelimisha waumini wake, kuwaombea  na kumlilia Mungu; vijana wataishia humo kutokana na ahadi nono za kupata utajiri na umaarufu.

Katika tangazo la kanisa hilo, ambalo chanzo cha habari hii kimeliona, Kuhani wa kanisa la shetani Hekalu la Nairobi,  Khan Mohamed Kahan, alisema  hekalu lao ni huru na watu wote wanaruhusiwa kuhudhuria ibada, lakini sharti moja kubwa ni kutotaja jina la Yesu, wala kumtukuza Mungu mmoja.

Akinukuliwa na Gazeti la Standard, kuhani huyo alisema kuwa ndani ya ibada zao jambo baya na lisiloruhusiwa ni kutaja jina la Yesu, na wanawajali na kuwapongeza wageni wanaohudhuria ibada hiyo.

“Kwenye kanisa letu dhambi siyo mambo binafsi kama vile; kufanya uzinzi au uasherati, kutembea na mke wa mwenzio na mengineyo.

Hekalu au kanisa halina shida na mtu kuwa na mahusiano ya kingono na mwenzake, bora tu wakubaliane. Hatufuatilii mambo ya kipuuzi ya kufuatiliana. Waumini wetu wanaamini katika uchawi na ushirikina na siyo ibada. Hatuamini katika kumuabudu mwingine. Ingawa kwa sababu maalum wanajichanganya na wale wanaodai kuwa waabudu Mungu,” alisema na kuongeza:
 “Tunawakaribisha wote wanaokabiliana na changamoto nyingi hapa Kenya, waje kwetu kwa kuwa sisi tuna fursa za aina yake na tumetumwa kuwaokoa. Wamedanganywa sana na mwisho wanapaswa kuona tulivyo na suluhisho.”

Baadhi ya wale walioitikia wito wa kujiunga na shetani wanaeleza kuwa wametakiwa kulipa kiasi cha shilingi 4000 za Kenya na bado wanatakiwa kulipa kiasi kingine cha fedha kama hicho ili kukamilisha uanachama halisi.

Kanisa au hekalu la shetani nchini Kenya, ni tawi la kanisa la kishetani lililoanzishwa Aprili 30, 1966 na Magus Anthony Szandor LaVey, na kuushangaza ulimwengu alipotokeza hadharani na kueleza imani yake dhidi ya shetani badala ya Mungu.

LaVey alikuwa mpinzani wa Ukristo na mwanamuziki aliyependa kujisifia mwenyewe, alijaribu kuunganisha waabudu shetani na hata kuandika Biblia yao iliyojulikana kama ‘Satanic Bible’, alijitangaza kuwa kuhani mkuu wa kanisa hilo hadi alipofariki dunia mwaka 1997 na nafasi yake kutwaliwa na mkewe Blanche Barton.

Alipofariki kanisa lake likazidi kuenea kila kona ya dunia na mapema mwaka huu likaingia rasmi nchini Kenya, katika mji wa Nairobi lakini wanaojua vyema ni wale waliokwisha timiza masharti na kupewa uanachama.

Tangazo la namba zao za simu ni 666, Nairobi, Kenya, 100100+254 716 ***666, na wanaalika watu kwa njia mbali mbali ili kuwavuta kujiunga na kundi hilo la kishetani. Namba 666 inayotumiwa na kanisa hilo inatajwa katika Biblia kitabu cha Ufunuo wa Yohana kama namba ya mpinga Kristo, ambayo wale watakaosalia baada ya unyakuo watateswa ili kuipokea.

Wakati huohuo, ile harusi baina ya mzee wa miaka 74 na mbuzi imefungwa wiki imepita katika kanisa la waabudu shetani nchini Brazil. Wiki zilizopita Bwana harusi alitangaza kuwa katika sherehe yake hakuta kuwa na nyama ya mbuzi ili kumuenzi mkewe.

Bwana Harusi huyo mtarajiwa, mzee Aparecido Castaldo,alitangaza kuwa maandalizi yote ya harusi hiyo ya kihistoria na wageni walimiminika nchini Brazili  kushiriki tukio hilo la kishetani.

Mwenyewe anajivunia mahusiano yake na mbuzi wake aitwaye Carmela, ndani ya kanisa pekee ambalo limeridhia kufanya kazi hiyo.

“Niliomba makanisa kadhaa yakiwepo ya kiinjili, lakini yaligoma nikaonana na Toninho do Diabo (Tom the Devil), nikazungumza naye na kukubaliana, nitaweka historia ya pekee si hapa Brazil pekee, bali ni pamoja na dunia yote,” alisema Bw. harusi huyo.

Sherehe ilifanyika katika kanisa la kishetani la Sao Paolo, usiku wa manane na wafuatiliaji wa mtandao waliweza kuliona moja kwa moja.

Kulingana na maandiko matakatifu, mambo hayo yote yanaashiria mwisho wa dunia uliotabiriwa na Bwana Yesu Kristo mwenyewe (soma Mathayo 24 na Ufunuo 13).

'Arabs Realizing Israel Is Not the Enemy'

One of the very few positive outcomes of the regional crises engulfing the Middle East is that a number of Arab states are beginning to realize that Israel is not the true enemy.

Israeli Arab flags"For the first time in Israel's existence, there is an understanding in the Arab world, that Israel is not the enemy of the Arabs. On many issues, we are united," Prime Minister Benjamin Netanyahu said at the opening of the Knesset's winter session earlier this week.

Netanyahu noted that the hijacking of pro-democracy revolutions in Egypt, Syria and elsewhere had turned many of the Arab states against the same Islamist regimes and groups that most threaten Israel.
"Many nations in the area have a strong desire to eliminate the influence of Iran, the Muslim Brotherhood and Al-Qaida," the prime minister said. "This is an important development, even historic."

An unnamed government source later revealed to Israel's Ynet news portal that Netanyahu's remarks were not just flowery rhetoric, but a veiled announcement that Israel and several Arab states, some of which have no official diplomatic ties with the Jewish state, are now actively cooperating on various fronts.

With America increasingly seen as an unreliable ally, Arab states are looking for a strong anchor nation with which they can coordinate their own battles against Islamic extremism and Iranian hegemony.
Many have found that ally in Israel, even if the bulk of the unprecedented cooperation must happen in secret.

Darlene Zschech - Jesus At The Center


Dar Es Salaam Pentecostal Church (DPC) Youth Nyama Choma ilivyobamba.




NB: Hili ni tukio la kila mwezi katika kuwakutanisha vijana mbalimbali kubadilishana mawazo kuhusu changamoto mbali za maisha katika Kristo Yesu,pia mwezi ujao itakuwepo tena! Bila kusahau mwezi Dec kutakuwa na kambi ya vijana katika Mbuga ya wanyama ya mikumi Morogoro,Maelezo zaidi kutembelea blog hii tutazidi kukujulisha.

Ja Rule Encourages DMX to Seek God for His Recent Troubles



Ja Rule recently encouraged rapper DMX to seek God in order to combat many of his well-publicized troubles.

The "I'm in Love With a Church Girl" star was asked about his former label mate in an interview with The Grio. Ja Rule touched on DMX's child support issues that have him owing $1.2 million.
"I love X, we got a great history," Ja said to the Grio. "We came up together in this business. It's kind of sad to watch my homie go through what he's going through."

He also believes DMX still has a shot to redeem himself in the public eye by seeking out the guidance of God.

"This is America," he said. "We love to see people bounce back. We love that comeback story. I don't think it's far off for X to come back and do something significant, and people to love him again. I think he just needs to maybe see God. It has to be something drastic that changes the way he lives and the way he goes about his everyday lifestyle. Hopefully he'll realize that what he's doing is destructive."

DMX and Ja Rule were both signed to Def Jam records in the late 1990s and shared a mutual friend in Irv Gotti. They recorded several tracks together during that time including Ja's song "It's Murda" from his debut album Venni Vetti Vecci which also featured Jay-Z.

The two also had a feud that went public in 2002/2003 that was finally ended in 2009.
DMX has been known to reference God and the Bible in his music and has been vocal about his Christian faith. He even told Dr. Phil in a recent interview that God will take away all of his addictions soon.

 

Rapper Ja Rule talks about how Hillsong changed his life..