![]() |
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa benki hiyo. |
![]() |
Utepe ukikatwa kuashiria kufungua Benki ya Maendeleo, wakati wa hafla ya uzinduzi |
![]() |
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo watumishi wa Mungu,Viongozi wa Serikali na kutoka katika mashirika mbalimbali walipohudhuria hafla hiyo ya ufunguzi wa benki hiyo. |
![]() |
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo watumishi wa Mungu,Viongozi wa Serikali na kutoka katika mashirika mbalimbali walipohudhuria hafla hiyo ya ufunguzi wa benki hiyo. |

No comments:
Post a Comment