Tamasha la John Shaban Magomeni TAG


Watu wajitokeza kuhudhilia walijitokeza kwa Wingi Katika Tamasha la Muziki wa Injili la KuSupport Mwanamuziki wa Muziki wa Injili John Shaban lililofanyika Jioni Ya Leo Katika Kanisa la TAG Magomeni.
Tamasha hilo lililosukumizwa pia na Wanamuziki Wakongwe kama Cosmas Chidumule, Makasy, John Komanya, Nelly, Stara Thomas, Upendo Kilahiro, Victor Aron na baadhi ya Kwaya Kutoka Jiji la Dar-es-Salaam.
Shughuli nzima ya hiyo ilikuwa ikiongozwa na. Mgeni Rasmi wa siku ya leo ni Mhe. Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukangara.
 
Tamasha hilo lililokuwa maalum kwa ajili ya Kusifu na Kuabudu na Maombi kwa ajili ya Taifa Letu la Tanzania.

 
Mwanamziki wa Injili John Shabaani

Bishop John Komanya , Upendo Kilahiro na John Shabaani awakiimba

 John Shaban, Stella Joel na Mhe. Mgeni Rasmi Mhe. Waziri

 Mchungaji wa Kanisa la TAG Magomeni Pastor Kanemba akiwa na Mkewe siku ya Leo Kwenye Tamasha.
 Mwanamuziki wa Injili Stara Thomas alikuwepo kuhudumu Katika Tamasha hilo

Injili Nchini pia unajumuisha wazee wenye umri wao kama Cosmas Chidumule na Mzee Makasy
 
 
 Bishop John Komanya kushoto na Kulia ni Upendo Kilahiro ndani ya Tamasha 
 Watu Peopleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
 Nelly akiwa Jukwaani Kikazi zaidi siku ya Leo

Christian Bloggers wakiwa Kikazi zaidi siku ya hiyo,Kushoto ni Victor, Kati ni Papaa Ze Blogger na Kulia ni Tunu wakiwa Kikazi zaidi.

No comments:

Post a Comment