Pastor Benjamin Dube Kuhudumu ndani ya Uganda wiki hii.

Mchungaji na mwimbaji mkongwe wa Nyimbo za Injili nchini Afrika ya kusini Pastor Benjamin Dube ambaye Pastor Benjamin Dube is a music ministerial visionary, anointed songwriter and singer, music producer, mentor / father and pastor to many musicians and an inspiration to secular artists in South Africa katika medani ya muziki wa injili, siku ya Ijumaa anatarajia kufanya onyesho katika hoteli ya Serena jijini Kampala nchini Uganda ambako amepata mwaliko maalumu wa kihuduma kupitia huduma ya Gospel Healing Center International (GHCI) ambao wameandaa usiku wa kusifu.
                             
Pastor Dube ambaye tayari amewasili nchini Uganda kwasasa baada ya kusafiri pamoja na timu yake asubuhi ya leo, anasubiriwa kwa hamu nchini humo na mashabiki wake pamoja na wapenzi wa muziki wa injili kutokana na kazi yake njema anayoifanya katika ulimwengu wa muziki wa gospel ambapo katika onyesho hilo atashirikiana na waimbaji wenyeji wa nchini humo ambao nao wamealikwa katika onyesho hilo.

Mwimbaji wa Kundi la The Voice Jijini Dar es salaam apata Ajali

Obedi John Mark Mwimbaji wa kundi la The Voice linaloundwa na vijana watano amepata ajali jana usiku majira ya saa tatu maeneo ya Sinza Kamanyola, akiwa anatumia usafiri wa bajaji. kupitia ukurasa wao wa Facebook kundi hilo limetujulisha hivi;-''Mwimbaji mwenzetu Obedi John Mark amepata ajali maeneo ya Sinza Kamanyola, akiwa na usafiri wa bajaji akiwa anaelekea Magomeni...Kwa sasa hali yake si nzuri yuko chini ya uangalizi wa Daktari Mvungi ndani ya Hopitali ya Kinondoni na ameumia sehemu za Kichwa, wapendwa tuzidi kumuombea apone haraka''.


Obedi Mark katika pozi.
Aidha mwana blogger mwingine unlce jimmytemu kupitia blog yake amefanya mazungumzo na mdogo wake Obedi nakueleza kuwa hali yake sio nzuri amepata michubuko kwenye Mikono Miguu na sehemu za uti wa mgongo.Kwa sasa yupo hospital Muhimbili.
Gospel Vision inamtakia afya njema Obedi Mungu ahusike katika matibabu yake, tungependa kumuona akijumuika na wenzake katika huduma ya kumwinua Kristo.AMEN

The Voice

Mbunge aitaka serikari ya Tanzania kujenga ubalozi Israel nchini.

Bi Asumpta Mshama Mbunge wa Nkenge Kwa tiketi ya CCM

Hoja hiyo imeibuliwa bungeni hivi karibuni na Mbunge wa Nkenge Kwa tiketi ya CCM, Bi Asumpta Mshama, ametumia andiko hili kujenga hoja ya Tanzania kufungua ubalozi kamili huko Israeli. “And it shall be, that whoso will not come up of all the families of the earth unto Jerusalem to worship the King, the LORD of hosts, even upon them shall be no rain” (Zechariah 14:17). Kwa wale wasiomfahamu, ni mama yao wale akina “J sisters”, mabinti wanaoimba nyimbo za injili.

Nakumbuka alijibiwa na naibu Wa Wizara Ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim alieleza kuwa Tanzania haendeshi mambo yake Kiroho sababu kama Taifa halina dini ispokuwa Waumini wake, vile vile alieleza kwa sasa Tanzania haijatenga fedha za ajili ya Uanzishwaji huo wa Ofisi ya kibalozi, aliendelea kueleza kuwa Tanzania ina Mwakilishi wa Heshima huko Tel Aviv.

Thanks Giving Ya Uncle Jimmy Temu



Mwahabari wa Kikristo na Blogger anayefanya vizuri katika Tasnia ya Habari , Uncle James Temu ambaye pia ni Mtangazaji wa Kipindi Cha Rise and Shine na Sunday Special Kutoka Praise Power FM na Mmiliki na mwendeshaji wa Blog ya www.unclejimmytemu.blogspot.com ameandaa siku maalum ya Kumshukuru Mungu kwa Blog yake Kutimiza Mwaka mmoja Mpaka Sasa.

Uncle Jimmy ameeleza kuwa blog hiyo ambayo mwezi huu wa July imetimiza Mwaka imepiga hatua kubwa sana mpaka sasa katika upashaji wa habari ndani na nje ya Tanzania.
Blog hiyo ambayo ni maalum kwa ajili ya kupasha habari za Kikristo na injili imekuwa ikisomwa na watu mbali mbali walio ndani na nje ya Tanzania kwa kipindi cha Mwaka mzima sasa na kutoa michango yao ya mawazo kwa maendeleo ya Blog hiyo.


Blogger huyo James Temu au Uncle Jimmy amesema siku ya tarehe 20 July, 2012 kuanzia saa 1 usiku mpaka saa 3 usiku ameandaa Event Ya Kumshukuru Mungu itakayofanyika katika hotel ya Tamal maeneo ya Mwenge. Katika event hiyo Kutakuwa na Wanamuziki Wa Injili wanaovuma hapa nchini wakiongozwa na Dar-es-Salaam Band, Kutakuwa na Vinywaji pamoja na Chakula kitakachopatikana katika event.
Uncle Jimmy amesema Event hiyo haitakuwa na Kiingilio sababu ni siku maalum ya Kumshukuru Mungu. Pia alitoa mwito wa Kuwakaribisha Watu wote Bureeeeeeeeeeeee kabisa Bureeeeeeeeee kuweza Kuhudhuria Cocktail  Thanks Giving Ya Blog hiyo inayotimiza Mwaka.
Kumbuka ni tarehe 20 July, 2012, Saa 1-3 Usiku, Kiingilio ni Bure, Kutakuwa na Live Bands, Wanamuziki wa Injili, Wacheza Filamu Mbalimbali, Watangazaji wa Radio, Wasikilizaji wa Radio na Wewe Msomaji pia Unakaribishwa kwa ajili ya Siku ya tarehe 20 July, 2012.



Kwa Hisani Kubwa ya www.unclejimmytemu.blogspot.com

Christina Shusho Kuraa Pungua Katika Tuzo za Muziki wa Injili Barani Afrika.

Mwanamuziki wa Injili pekee wa kutoka Tanzania aliyekuwa akiiwakilisha nchi katika tuzo za Muziki wa Injili barani Afrika Christina Shusho, terehe 07.072012 iliyokuwa siku ya matokeo ya mashindano hayo hakubahatika kupata tuzo yeyote katika kilele cha shindano hilo lililofanyika nchini Uingereza katika kanisa la EL SHADDAI INTERNATIONAL CHRISTIAN CENTRE. 

Tuzo hizo mwanamama Christina Shusho alikuwa akiwania tuzo mbili,ya kwanza ni mwanamuziki bora wa kike wa nyimbo za injili barani Afrika na nyingine ni mwanamuziki bora wa injili ukanda wa Afrika mashariki na kati, ambapo katika kategori zote mwakilishi huyu wa Tanzania hakubahatika kuibuka mshindi.Hii ni mara ya pili kwa Tanzania kushiriki katika tuzo hizo bila kupata.Ukavu huu haumaanishi hatuwezi ila unatupa changamoto ya kufanya kazi ya Mungu.




Washindi katika kila kategori ni kama ifuatavyo wenye rangi ya njano

ARTIST OF THE YEAR- EAST AFRICA
1.     Eko Dydda- Kenya
2.     Emmy Kosgei - Kenya
3.     Exodus- Uganda
4.     Christina Shusho- Tanzania
5.     Lam Lungwar- South Sudan
6.     Sarah K-  Kenya
7.     Dawit Getachew-Ethiopia
8.     Kambua-Kenya
9.     Willie  Paul- Kenya
10.Ann Marie Mutesi - Burundi

ARTIST OF THE YEAR- SOUTHERN AFRICA
1.     Patrick Duncan
2.     Solly Mahlangu
3.     Hlengiwe Mhlaba
4.     Ambani Ramaru
5.     Sfiso Ncwane
6.     Bakhe Dlamini
7.     Keke Phoofolo
8.     Thobekile Mkhwanazi
9.     Ntokozo Mbambo
10.Prince Mafukidze




Emmy Kosgei akienda kuifata tuzo yake ya nyimbo bora ya injili barani afrika 2012 
Emmy Kosgei kushoto alihudumu katika tuzo hizo na nyimbo yake ya Ololo ilipata tuzo ya nyimbo bora
 




Solly Mahlangu aliibuka mwanamuziki bora wa Injili barani afrika 2012

ARTIST OF THE YEAR- EUROPE
1.     Dina Kikala, UK
2.     Masterdon, Italy
3.     Daniel Idikayi, UK
4.     Atta Boafo, UK
5.     Iyobo Van Lierop- Holland
6.     Kelechy Ify, UK
7.     Rebecca, UK
8.     Allen Caiquo, UK
9.     Mahali Selepe, UK
10.Myco Chris, UK
AFRO JAZZ /INSTRUMENTAL MUSICIAN OF THE YEAR
1.     Swazi Dlamini (South Africa)
2.     Mbaki (Bostwana)
3.     Lekan Shobiyi (UK)
4.     Mike Aremu (Nigeria)
5.     Nathi Zungu (South Africa)
6.     Miller Luwoye (UK)

ALBUM OF THE YEAR
1.     Colours of Africa- Sonnie Badu (UK)
2.     Crown Him King-Israel Mosehla (South Africa)
3.     Blessing-Diana Hamilton (UK)
4.     Ololo -  Emmy Kosgei (Kenya)
5.     Skuulfoo- Chapter 1 (Ghana)
6.     Declaring his Name- Muyiwa and Riversongz (UK)
7.     Overflo-  Florocka (Akinwunmi Nathan Akiremi) (Nigeria)
8.     Prophecy-Ohemaa Mercy (Ghana)
9.     Mwamba Mwamba- Solly Mahlangu (South Africa))
10.I Believe – Rebecca (UK)

AFRO GOSPEL RAP (SOLO/GROUP) OF THE YEAR
1.     Preachers (Ghana)
2.     Princess Dolly (UK)
3.     Rooftop MCs (Nigeria)
4.     Royal Priesthood (Ghana)
5.     Kriss Ehh Baba (Kenya)
6.     Andrew Bello (UK)
7.     Lyrical Soldier (UK)
8.     Fifty 50 (South Africa)
9.     Kardy (Cameroon)
10.Chuka Royalty (UK)
SONG OF THE YEAR
1.     Psalm 23-Eko Dydda (Kenya)
2.     Siyabonga Jesu- Solly Mahlangu  (South Africa)
3.     Ololo – Emmy Kosgei (Kenya)
4.     God Dey Bless Me- Cwesi Oteng (Ghana)
5.     Only You be God- Muyiwa and Riversongz (UK)
6.     Born Champion – DJ Gosporella ft. J. Clique (Nigeria)
7.     Champions- Tim Godfrey (Nigeria)
8.     Bless Somebody- Rebecca (UK)
9.     Minku Meho -Celina Boateng (Ghana)
10.Arabaribiti – Sonnie Badu (UK)






FEMALE ARTIST OF THE YEAR
1.     Emmy Kosgei-Kenya
2.     Dena Mwana – Congo
3.     Ntokozo Mbambo- South Africa
4.     Rebecca- UK
5.     Gifty Osei- Ghana
6.     Kefee -Nigeria
7.     Onos Ariyo- Nigeria
8.     Diana Hamilton-UK
9.     Christina Shusho -Tanzania
10.Lara George- Nigeria
MALE ARTISTE OF THE YEAR
1.     Solly Mahlangu-South Africa
2.     Eko Dydda-Kenya
3.     Frank Edwards- Nigeria
4.     Daddy Owen- Kenya
5.     Keke Phoofolo- South Africa
6.     Joe Praise- Nigeria
7.     Eben- Nigeria
8.     Uche- South Africa
9.     Allen Caiquo- UK
10.Aaaron T. Aaron- UK
EVENT OF THE YEAR
1.     Festival of Worship and Praise- (Italy)
2.     Joyous Celebration 16 Live Recording (South Africa)
3.     Evolution (Ghana)
4.     Crown Awards (South Africa)
5.     Groove Awards (Kenya)
6.     Talanta Awards Africa (USA)
GROUP/CHOIR OF THE YEAR
1.     Maximum Melodies- Kenya
2.     Simply Chrysolite-South Africa
3.     Makoma- Holland
4.     Tim Godfrey and Extreme Crew-Nigeria
5.     Skuulfoo-Ghana
6.     Vining Ogu and This Experience Choir - Nigeria
7.     Obert Mazivisa and the Trumpet Echoes
8.     Sowetos Spiritual Singers-South Africa
9.     Adawnage- Kenya
GOSPEL TV PROGRAM OF THE YEAR
1.     Le Chemin Des Artistes (UK)
2.     X2D (Nigeria)
3.     Crossover 101 NTV (Kenya)
4.     House of Praise (South Africa)
5.     Footprints (Ghana)
6.     One Gospel (South Africa)