Pastor Benjamin Dube Kuhudumu ndani ya Uganda wiki hii.

Mchungaji na mwimbaji mkongwe wa Nyimbo za Injili nchini Afrika ya kusini Pastor Benjamin Dube ambaye Pastor Benjamin Dube is a music ministerial visionary, anointed songwriter and singer, music producer, mentor / father and pastor to many musicians and an inspiration to secular artists in South Africa katika medani ya muziki wa injili, siku ya Ijumaa anatarajia kufanya onyesho katika hoteli ya Serena jijini Kampala nchini Uganda ambako amepata mwaliko maalumu wa kihuduma kupitia huduma ya Gospel Healing Center International (GHCI) ambao wameandaa usiku wa kusifu.
                             
Pastor Dube ambaye tayari amewasili nchini Uganda kwasasa baada ya kusafiri pamoja na timu yake asubuhi ya leo, anasubiriwa kwa hamu nchini humo na mashabiki wake pamoja na wapenzi wa muziki wa injili kutokana na kazi yake njema anayoifanya katika ulimwengu wa muziki wa gospel ambapo katika onyesho hilo atashirikiana na waimbaji wenyeji wa nchini humo ambao nao wamealikwa katika onyesho hilo.

No comments:

Post a Comment