Christina Shusho Kuraa Pungua Katika Tuzo za Muziki wa Injili Barani Afrika.

Mwanamuziki wa Injili pekee wa kutoka Tanzania aliyekuwa akiiwakilisha nchi katika tuzo za Muziki wa Injili barani Afrika Christina Shusho, terehe 07.072012 iliyokuwa siku ya matokeo ya mashindano hayo hakubahatika kupata tuzo yeyote katika kilele cha shindano hilo lililofanyika nchini Uingereza katika kanisa la EL SHADDAI INTERNATIONAL CHRISTIAN CENTRE. 

Tuzo hizo mwanamama Christina Shusho alikuwa akiwania tuzo mbili,ya kwanza ni mwanamuziki bora wa kike wa nyimbo za injili barani Afrika na nyingine ni mwanamuziki bora wa injili ukanda wa Afrika mashariki na kati, ambapo katika kategori zote mwakilishi huyu wa Tanzania hakubahatika kuibuka mshindi.Hii ni mara ya pili kwa Tanzania kushiriki katika tuzo hizo bila kupata.Ukavu huu haumaanishi hatuwezi ila unatupa changamoto ya kufanya kazi ya Mungu.




Washindi katika kila kategori ni kama ifuatavyo wenye rangi ya njano

ARTIST OF THE YEAR- EAST AFRICA
1.     Eko Dydda- Kenya
2.     Emmy Kosgei - Kenya
3.     Exodus- Uganda
4.     Christina Shusho- Tanzania
5.     Lam Lungwar- South Sudan
6.     Sarah K-  Kenya
7.     Dawit Getachew-Ethiopia
8.     Kambua-Kenya
9.     Willie  Paul- Kenya
10.Ann Marie Mutesi - Burundi

ARTIST OF THE YEAR- SOUTHERN AFRICA
1.     Patrick Duncan
2.     Solly Mahlangu
3.     Hlengiwe Mhlaba
4.     Ambani Ramaru
5.     Sfiso Ncwane
6.     Bakhe Dlamini
7.     Keke Phoofolo
8.     Thobekile Mkhwanazi
9.     Ntokozo Mbambo
10.Prince Mafukidze




Emmy Kosgei akienda kuifata tuzo yake ya nyimbo bora ya injili barani afrika 2012 
Emmy Kosgei kushoto alihudumu katika tuzo hizo na nyimbo yake ya Ololo ilipata tuzo ya nyimbo bora
 




Solly Mahlangu aliibuka mwanamuziki bora wa Injili barani afrika 2012

ARTIST OF THE YEAR- EUROPE
1.     Dina Kikala, UK
2.     Masterdon, Italy
3.     Daniel Idikayi, UK
4.     Atta Boafo, UK
5.     Iyobo Van Lierop- Holland
6.     Kelechy Ify, UK
7.     Rebecca, UK
8.     Allen Caiquo, UK
9.     Mahali Selepe, UK
10.Myco Chris, UK
AFRO JAZZ /INSTRUMENTAL MUSICIAN OF THE YEAR
1.     Swazi Dlamini (South Africa)
2.     Mbaki (Bostwana)
3.     Lekan Shobiyi (UK)
4.     Mike Aremu (Nigeria)
5.     Nathi Zungu (South Africa)
6.     Miller Luwoye (UK)

ALBUM OF THE YEAR
1.     Colours of Africa- Sonnie Badu (UK)
2.     Crown Him King-Israel Mosehla (South Africa)
3.     Blessing-Diana Hamilton (UK)
4.     Ololo -  Emmy Kosgei (Kenya)
5.     Skuulfoo- Chapter 1 (Ghana)
6.     Declaring his Name- Muyiwa and Riversongz (UK)
7.     Overflo-  Florocka (Akinwunmi Nathan Akiremi) (Nigeria)
8.     Prophecy-Ohemaa Mercy (Ghana)
9.     Mwamba Mwamba- Solly Mahlangu (South Africa))
10.I Believe – Rebecca (UK)

AFRO GOSPEL RAP (SOLO/GROUP) OF THE YEAR
1.     Preachers (Ghana)
2.     Princess Dolly (UK)
3.     Rooftop MCs (Nigeria)
4.     Royal Priesthood (Ghana)
5.     Kriss Ehh Baba (Kenya)
6.     Andrew Bello (UK)
7.     Lyrical Soldier (UK)
8.     Fifty 50 (South Africa)
9.     Kardy (Cameroon)
10.Chuka Royalty (UK)
SONG OF THE YEAR
1.     Psalm 23-Eko Dydda (Kenya)
2.     Siyabonga Jesu- Solly Mahlangu  (South Africa)
3.     Ololo – Emmy Kosgei (Kenya)
4.     God Dey Bless Me- Cwesi Oteng (Ghana)
5.     Only You be God- Muyiwa and Riversongz (UK)
6.     Born Champion – DJ Gosporella ft. J. Clique (Nigeria)
7.     Champions- Tim Godfrey (Nigeria)
8.     Bless Somebody- Rebecca (UK)
9.     Minku Meho -Celina Boateng (Ghana)
10.Arabaribiti – Sonnie Badu (UK)






FEMALE ARTIST OF THE YEAR
1.     Emmy Kosgei-Kenya
2.     Dena Mwana – Congo
3.     Ntokozo Mbambo- South Africa
4.     Rebecca- UK
5.     Gifty Osei- Ghana
6.     Kefee -Nigeria
7.     Onos Ariyo- Nigeria
8.     Diana Hamilton-UK
9.     Christina Shusho -Tanzania
10.Lara George- Nigeria
MALE ARTISTE OF THE YEAR
1.     Solly Mahlangu-South Africa
2.     Eko Dydda-Kenya
3.     Frank Edwards- Nigeria
4.     Daddy Owen- Kenya
5.     Keke Phoofolo- South Africa
6.     Joe Praise- Nigeria
7.     Eben- Nigeria
8.     Uche- South Africa
9.     Allen Caiquo- UK
10.Aaaron T. Aaron- UK
EVENT OF THE YEAR
1.     Festival of Worship and Praise- (Italy)
2.     Joyous Celebration 16 Live Recording (South Africa)
3.     Evolution (Ghana)
4.     Crown Awards (South Africa)
5.     Groove Awards (Kenya)
6.     Talanta Awards Africa (USA)
GROUP/CHOIR OF THE YEAR
1.     Maximum Melodies- Kenya
2.     Simply Chrysolite-South Africa
3.     Makoma- Holland
4.     Tim Godfrey and Extreme Crew-Nigeria
5.     Skuulfoo-Ghana
6.     Vining Ogu and This Experience Choir - Nigeria
7.     Obert Mazivisa and the Trumpet Echoes
8.     Sowetos Spiritual Singers-South Africa
9.     Adawnage- Kenya
GOSPEL TV PROGRAM OF THE YEAR
1.     Le Chemin Des Artistes (UK)
2.     X2D (Nigeria)
3.     Crossover 101 NTV (Kenya)
4.     House of Praise (South Africa)
5.     Footprints (Ghana)
6.     One Gospel (South Africa)

No comments:

Post a Comment