Mbunge aitaka serikari ya Tanzania kujenga ubalozi Israel nchini.

Bi Asumpta Mshama Mbunge wa Nkenge Kwa tiketi ya CCM

Hoja hiyo imeibuliwa bungeni hivi karibuni na Mbunge wa Nkenge Kwa tiketi ya CCM, Bi Asumpta Mshama, ametumia andiko hili kujenga hoja ya Tanzania kufungua ubalozi kamili huko Israeli. “And it shall be, that whoso will not come up of all the families of the earth unto Jerusalem to worship the King, the LORD of hosts, even upon them shall be no rain” (Zechariah 14:17). Kwa wale wasiomfahamu, ni mama yao wale akina “J sisters”, mabinti wanaoimba nyimbo za injili.

Nakumbuka alijibiwa na naibu Wa Wizara Ya mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Mahadhi Juma Maalim alieleza kuwa Tanzania haendeshi mambo yake Kiroho sababu kama Taifa halina dini ispokuwa Waumini wake, vile vile alieleza kwa sasa Tanzania haijatenga fedha za ajili ya Uanzishwaji huo wa Ofisi ya kibalozi, aliendelea kueleza kuwa Tanzania ina Mwakilishi wa Heshima huko Tel Aviv.

No comments:

Post a Comment