AFLEWO TANZANIA 2013 YAFANA

Mkesha Mkubwa Tanzania wa Kusifu na Kuabudu AFLEWO (Africa Lets Worship) umefanyika vizuri katika kanisa la BCIC likiudhuliwa  na Maelfu ya watu kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es salaam na Mikoa ya Jirani kama Moshi,Mwanza na Mingine,

Mkesha wa AFLEWO ulifunguliwa kwa Maombi na Askofu Silvester Gamanywa wa Wapo Mission International akifungua kwa maombi na kuwa ameufungua rasmi ukianza Kwa sifa na Kuabudu.

Watumishi wa Mungu kutoka Makanisa Mbalimbali walikuwepo katika Mkesha huo kuhakikisha wanaumuika na Kufanya kitu kimoja kwa ajili ya mwili wa Kristo katika Taifa la Tanzania.

Bishop Silvester Gamanywa wa Wapo Mission International akifungua Mkesha wa AFLEWO kwa maombi.BCIC Mbezi Beach
Pastor Ferdie Kyara akihubiri Neno katika Mkesha wa AFLEWO TANZANIA


Fullshangwe....


Pastor Gal with Kagaruki






AFLEWO Patron Pastor Abel Orgenes
Tanzania Shall never Be the Same,,,,







Majembe ya Bwana Ma MC wa Event

Praise Team Kutoka Moshi


Dance
The Voice



No comments:

Post a Comment