Waziri Mkuu atembelea Kanisa lilipolipuka Bomu na Kuzungumza na waumini na Viongozi wa Kanisa.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  akizungumza na Viongozi na Waumini wa Kanisa Katoliki la Olasiti Jijini Arusha  May 7,2013 alikokwenda kutoa pole kufuatia mlipuko wa bomu la kutupwa kwa mkono uliotokea kanisani hapo May 6,2013 na kusababisha vifo na majeruhi. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu







 

No comments:

Post a Comment