Ungana na Ask.Lazaro na Mtume Onesmo Ndegi kutembelea Israel

Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Emmanuel Lazaro, akiongoza kundi la viongozi mbalimbali wa makanisa na baadhi ya waumini wanaosafiri kwenda Israeli kutembelea maeneo matakatifu yaliyopo kwenye Bibilia, ambapo pamoja na mambo mengine wataliombea kanisa na nchi kwa ujumla.

Kampuni ya Nanuri Safari LTD inayoratibu safari hiyo ya kihistoria inakukaribisha kujiunga nao ili kukupa fursa ya kipekee ya kushuhudia kwa macho maeneo hayo matakatifu kama yalivyoainishwa katika Bibilia.

Askofu Mkuu mstaafu wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God, Emmanuel Lazaro

Mtume Onesmo Ndegi
Utaratibu wa Safari ni kuwa msafara huu utaondoka jijini Dar es Salaam, tarehe 14/07/2013 na kurudi tarehe 22/07/2013. Katika safari hiyo, Askofu Lazaro pamoja na mkewe, watafuatana na, Mtume Onesmo Ndegi, Maaskofu, Wachungaji na Wakristo mbalimbali.

Gharama za safari yote ni ni Dola  za Marekani 2700, ikiwa ni pamoja na gharama za malazi, chakula cha mchana na usiku, usafiri wa kwenda maeneo mbalimbali nchini Israel, kibali cha kuingia maeneo ya nchi, VIZA na usafiri wa ndege.

Wanaotaka kujiunga na safari hiyo ya Baraka, ambayo imeratibiwa na NANURI SAFARI COMPANY LIMITED walipe fedha hizo kupitia:

NANURI SAFARI COMPANY LIMITED
NMB – ILALA BRANCH
ACCOUNT NO: 2036600111
DAR ES SALAAM.

Ukiwa na swali lolote, wasiliana nao kwa mawasiliano yafuatayo:
0715 – 640 777; 0782 – 640 777;  0716 – 316 109

AU
Fika katika Ofisi zao zilizopo Mwalimu House ghorofa ya 6, Ilala Boma jijini Dar es Salaam. Kumbuka nafasi ni chache wahi mapema kabla hujachelewa.

No comments:

Post a Comment