Kilichoojili katika Uzinduzi wa Album ya Mwanamzimki wa Injili Paschal Kasian katika viwanja vya sifa.

Mwanamzimki wa Injili Paschal Kasian kutokea Bongo Star Search mpaka kuwa mwanamziki mkubwa wa Injili Nchini akitokea katika mashindano ya Bongo Star Search chini ya udhamini wa kampuni ya Bechmack Production.
Wiki hii iliyopita alifanya uzinduzi wa album yake ya nyimbo za Injili katika viwanja vya sifa viliyokuwa vikijulikana kama viwanja vya fisi hapa zamani na kuudhuliwa na wadau mbalimbali.

Katika Uzinduzi huo Mkurugenzi wa Bechmack Production na Mwanzilishi wa Bongo Star Search Madam Ritha  ndiye aliye kuwa Mgeni Rasmi katika uzinduzi huo wa Kijana wake aliye fanikiwa kimziki kutoka katika Bongo Star Search miaka aliyopita .


Paschal Kasian na Madam Ritha wakidancde kuelekea kwa stage



Paschal Kasian akifanya vitu vyake kwa stage na wenzake
Madam Ritha akiinadi album ya Pascha Kasian

Madam Ritha akikata utepe kwa Kuzindua Album ya Paschal Kasian

Idadi ya Mashabiki wa Paschal Kasian walijitokeza kuangalia uzinduzi huo katika viwanja vya sifa


No comments:

Post a Comment