Africa Lets Worship (Aflewo ) Nairobi 2012

Tamasha la Kusifu na Kuabudu  Africa Lets Worship (AFLEWO) linalojumumisha baadhi ya Nchi za Afrika mwanzo wa weekend hii yaani siku a Ijumaa katika Jiji  la Nairobi nchini Kenya lilifanyika na kuhudhuriwa na Idadi kubwa ya watu katika kumsifu na kumtukuza Mungu.

Baadhi ya vikundi mbalimbali vya uimbaji vilikuwepo kuhudumu katika Tamasha hilo,bila kusahu Wachungaji mbalimbali kutoka nchi jirani katika kuwakilishi katika Tamasha hilo lisilo kuwa na tofauti za kidini wala kikabila bali kwa lengo la kuinua Sifa mbele za Mungu na kuomba kwa ajili ya Bara la Africa na Viongozi wake.

Miezi kadhaa iliyopita lilifanyika Dar-es-Salaam Tanzania,na baadaye kufanyika sehemu mbalimbali za Nchi na majiji mbalimbali Barani Africa ikiwa ni kwa lengo la Kuunganisha watu kwa nia ya Kusifu na Kuabudu Nchi hadi Nchi na Mwaka hadi Mwaka.

Africa Lets Worship (Aflewo ) Nairobi 2012

 Aflewo Praise and Worship Team 2012

Bass Guitar in Action Aflewo  2012

Mmoja wa Viongozi akizungumza katika Africa Lets Worship (Aflewo ) Nairobi 2012
Watu walioudhulia wakifuatilia kwa makini
Pastor Safari kutoka DPC Dar es salaam Tanzania, akitoa Neno Aflewo Nairobi 2012
Wadau wakibalikiwa na Tamasha hilo Aflewo2012

Ilikuwa full anointing watu wakideep katika maombi

Ilikuwa Fullshangwe
Mmoja wa viongozi wa  Aflewo Nairobi (kulia) aliwahikuwepo katika Tamasha la Aflewo Tanzania, akifurahi sana.

 Team mbalimbali zilikuwepo kuhudumu katika Tamasha hilo la Aflewo Nairobi 2012
Ilikuwa ni furaha sana, waliokuwepo katika Tamasha la Aflewo Tanzania UCC wanaweza kuelewa namna gani inavyokuwa!
The Voice kutoka Tanzania walikuwepo kuwakilisha
The Voice
Ilikuwa watu wengi hadi nje ya ukumbi watu wakifuatilia kwenye Big Screen
Bila kujali umbali watu walikuwa wakihudumiwa huko huko!

No comments:

Post a Comment