Pastor Adam Haji ndani ya VCC New Tabernacle

Mchungaji Adam Haji anahudumu Semina ya Neno la Mungu  iliyoanza Jumapili ya juzi mpaka Jumapili kwa mda wa wiki nzima ndani VCC New Tarbenacle Mbezi Beach.

Semina hiyo itakuwa inaanza saa 10:00 mpaka Saa 1:00 jioni.

Nyote mnakaribishwa,Mtabarikiwa!

 
Mchungaji Kiongozi wa VCC  Rev Dr Huruma Nkone

Pastor Adam Haji ndani ya VCC New Tabernacle
Watu walipata mda wa kumsifuu na kumtukuza  Mungu sana

Siku ya Jana Victor Aron alikuwepo kuhudumu  ndani ya VCC New Tabernacle


Watu wanajitokeza kwa wingi kuhudhulia semina hiyo.



Mchungaji Adam Haji na Mke wake


Watu walipata mda wa kuomba,kuombewa pia kufunguliwa mapepo na nguvu za giza kuwatoka.






Mchungaji Kiongozi wa VCC  Rev .Dr Huruma Nkone akimhudumia dada aliyeonekana kufungwa na nguvu za giza.

Pia Ufundishaji wa mifano ndio ulio tawala kwa sana kwa makusudi ya kueleweka zaidi.

Nguvu za Mungu zilidhihilika kupitia Mtumishi wake Adam Haji katika Semina hiyo,watu kufunguliwa nguvu za giza na mapemo kuwatoka.



No comments:

Post a Comment