Tamasha Kusifu na Kuabudu siku ya Jana CCC chini ya CASFETA

Siku ya Jana Katika Kanisa la City Christian Centre  Upanga (CCC) kulikuwa na Tamasha la Kusifu na Kuabudu lililokuwa limeandaliwa na uongozi wa Casfeta-TAG Mkoani Dar es salaam,Katika Tamasha hilo walipata kushiliki Neno lililoongozwa Mchungaji Deo Lubala kutoka Word Alive Ministry.

Wanafunzi,wanavyuo vya elimu ya juu na wadau mbalimabali katika kila kona ya Jiji la Dar es salaam walionekana kuhudhulia kwa wingi kwa kile kilichoonekana kuwa ni Kumsifu na Kumtukuza Mungu.

Ibada hiyo ilipambwa na Nextlevel Team,John Lisu,Rivers of Life chini ya Pastor Paul Safari,Word Alive Praise and Worship Team na Casfeta Mass Choir.
Mchungaji Deo Lubala- Word Alive Ministry 

Idadi kubwa ya watu walijitokeza katika Tamasha hilo siku ya Jana kama wanavyoonekana.
Pastor Paul Safari
John Lisu

Backup team ya John Lisu
fullshangwe


Baadhi ya Viongozi wa Dini na Casfeta-TAG wakifuatilia Tamasha hilo
Casfeta Mass Choir




John Kagaruki akifanya 
vitu vyake akiwa na Lawrence

 akipuliza pembe kuashilia mambo moto 

No comments:

Post a Comment