Yaliyojili katika Tamasha Kubwa Kwa ajili Ya Maandalizi Ya Mkutano Wa Bonke


Dr. Huruma Nkone wa Kanisa la VCC


Kushoto ni Mchungaji mwenyeji wa kanisa la TAG magomeni mikumi akiwa na Dr Huruma Nkone.

Rivers of Joy kutoka  Kanisa la VCC kwa Dr. Huruma Nkone


Sasali Mc wa Event



Bomby Johnson akiwa RiverS of Joy kutoka VCCT
Vuvuzela pia zilikuwepo
 Nextlevel toka CCC Upanga
Music Director Samuel akiwaongoza Nextlevel toka CCC Upanga
 Miriam Mauki


Upendo Nkone akienda sawa na mashabiki
source:jimmytemu.blogspot.com

No comments:

Post a Comment