Makamu wa Rais Dkt.Bilal azindua Benki ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania;Maendeleo Benki.


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati wa ufunguzi rasmi wa benki hiyo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akifunua kitambaa kuashiria kuweka Jiwe la Msingi katika benki ya Maendeleo, Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT, Dkt. Alex Malasusa (kushoto) ni Naibu Waziri wa Fedha,Janeth Mbene.
 Utepe ukikatwa kuashiria kufungua Benki ya Maendeleo, wakati wa hafla ya uzinduzi

Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo watumishi wa Mungu,Viongozi wa Serikali na kutoka katika mashirika mbalimbali walipohudhuria hafla hiyo ya ufunguzi wa benki hiyo.
Baadhi ya wageni waalikwa wakiwemo watumishi wa Mungu,Viongozi wa Serikali na kutoka katika mashirika mbalimbali walipohudhuria hafla hiyo ya ufunguzi wa benki hiyo.
Makamu wa Rais  Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Rose Mushi, ambaye ni mmoja kati ya waanzilishi wa benki hiyo na wahamasishaji kwa watu na kuwa manager mradi wa Benki na kuwa katika kamati ya watu kumi waliokua wanaisimamia hiyo project. Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT, Dkt. Alex Malasusa.

Makamu wa Rais  Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi Cheti, Mchungaji, George Fupe, ambaye ni mmoja kati ya waanzilishi wa benki hiyo na wahamasishaji kwa watu kununua shea katika benki hiyo. Kulia ni Askofu Mkuu wa Kanisa la KKKT, Dkt. Alex Malasusa.

No comments:

Post a Comment