Samueli Sasali The Blogger angia katika majukumu ya ndoa rasmi baada ya Kufunga ndoa na Milembe John Madaha.


Mr & Mrs Sasali Jr
Mr & Mrs Sasali Senior wakipokea keki kutoka kwa Mkwe Milembe

Prosper Mwakitalima akipokea keki
Uncle Jimmy Temu

Christian Bloggers walikuwepo kuwakilisha na kutoa zawadi yao kwa The Blogger Sasali,hao ni baadhi ya wachache walio wawakilisha wengi walioko mikoani na nje ya nchi.

mapaka chini.....



No comments:

Post a Comment