Dar Es Salaam Pentecostal Church (DPC) Youth Nyama Choma ilivyobamba.




NB: Hili ni tukio la kila mwezi katika kuwakutanisha vijana mbalimbali kubadilishana mawazo kuhusu changamoto mbali za maisha katika Kristo Yesu,pia mwezi ujao itakuwepo tena! Bila kusahau mwezi Dec kutakuwa na kambi ya vijana katika Mbuga ya wanyama ya mikumi Morogoro,Maelezo zaidi kutembelea blog hii tutazidi kukujulisha.

No comments:

Post a Comment