Jeans & Tshirt yaliyojili Katika Picha siku ya Jana.

Jeans & Tshirt ni Event ya Gospel yenye madhumuni ya kuwakutanisha vijana waliookoka na wasiookoka kwa lengo la kujumuika katika kile kinachoendelea katika event hiyo.Event hiyo huwa inafanyika kila Jumapili ya kwanza ya mwezi ikiwa ni kitu cha wendelezo,Wakati kindi hiki ikiwa na dhima inayosema Christ In Action (CIA )

Siku ya jana ilifanyika Makumbusho ya Taifa mkabara na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) ambapo kulikuwa na vitu mbalimbali vilivyofanyika kama Dance R.I.O.T Dancers,Drama,Poetry,Bupeh alikuwepo na wengine wengi.

Mmeba maono Pastor Isaac Mallonga akizungumza jana katika Event hiyo alisema Jeans & Tshirt ni Event kwa lengo la Kuwaleta vijana kwa Yesu,siku ya Jana Vijana Kadhaa walipata kumpa Bwana Yesu maisha yao na wengine uhusiano wao na Mungu kurejea.

Imeonekana kuwa Event hiyio imekuwa msaada sana kwa vijana wa mjini maana Jeans & Tshirt event iliudhuliwa na vijana wengi na kupata muda wa Kuimba na Kucheza katika uwepo wa Mungu

Mwezi ujao Jeans & Tshirt Event itafanyika palepale Makumbusho ya Taifa mkabara na Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM) 




















No comments:

Post a Comment