Yaliyojii Tamasha la Usiku wa Matumaini Uwanja wa Taifa.


Raisi Kikwete akifungua Tamasha hilo
Ambwene Mwasongwe akiwa na Mwasabwite
Enock Jonas akiwa fanya vitu vyake
Mama Mchungaji Martha Mwaipaja
Jesca Honore wa Magupa alikuwepo kuhudumu katika Tamasha hilo
Flora Mbasha na Mme wake wakiingia kufanya vitu vyao
Sara K alikuwepo kutoka Kenya akiwakilisha

Raisi JK akiwa tayari kupuliza kipenga kuashilia kuanza kwa mechi kati ya wabunge wa Simba na Yanga
Waziri wa Vijana,Habari Utamaduni na Michezo akiwa jirani na Mh.JK
Erick Shigongo mmoja wa waandaaji wa Tamasha la Usiku wa Matumaini.
Waziri wa Vijana,Habari Utamaduni na Michezo Dr. Fenella Mukangara akizungumza
Wabunge wa Simba
Wabunge wa Yanga



No comments:

Post a Comment