TAMASHA LA PASAKA 2012 UWANJA TAIFA

Rebecca Malope Mwimbaji wa Injili kutoka South Africa, akihudumu katika Tamasha la Pasaka Uwanja wa Taifa,

Waimbaji waliohudumu katika Tamasha hilo Upendo Nkone,Upendo Karahilo na Christina Shusho wakiwa wanaingia Uwanjani.

Rose Mhando akiwa na Rebecca wakiwa wanaaga mara baada ya kuhudumu.


Mgeni Rasmi Waziri wa Mambo ya nje Mheshimiwa Bernald Membe (White) akifatilia na kupata upako kupitia Nyimbo toa kwa wanamuziki tofauti waliokuwa wakitumbuza kwenye Tamasha la Pasaka ambalo kwa kiasi kikubwa limekusanya mamia ya wanachi. 







 

Baadhi ya atu waliojitokeza uwanjani hapo.


Sehemu ya Hightable kama wanavyoonekana Mh Nape,Dr Fernandes,Askofu Gamnywa na Mgeni Rasmi Waziri wa Mambo ya nje Mheshimiwa Bernald Membe

No comments:

Post a Comment