THE VOICE WAREKODI LIVE DvD ALBUM

The Voice wakifanya vitu vyao ukumbini hapo

The Voice hapa vocal ilikuwea Babu kubwa wakiimba pamoja na mmpiga-solo mahiri  Bro Sam Yona nyuma mwenye Gitaa

The Voice wakiwasalimia mamia ya watu waliojitokeza ukumbini hapo

Hapa ni kiasi tu cha wadau waliojitokeza kutazama Event hiyo katika ukumbi wa Jumba la Makumbusho unaotazamana na chuo cha usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dar es salaam
 Mama na Mwana

Bloggers nao hawakupitwa na Event Hiyo

No comments:

Post a Comment