SEMINA YA NENO LA MUNGU NA MWALIMU MWAKASEGE

Semina ya Neno la Mungu na Mtumishi wa Mungu Christopher Mwakasege ikitarajiwa kuanza majira ya saa 12 jioni na kuendelea,waimbaji kadhaa watanzania wa injili nchini humo watakuwepo kuhudumukatika semeina hiyo,ni pamoja na J'sisters  Flora Mbasha na mumewe wako nchini Marekani i,Watanzania na wakazi wa mji wa Maryland na maeneo mengine watakwepo kuhudhulia katika semina hiyo ili kusikia kutoka kwa Mungu,Kama una ndugu yako huko pia unaweza kumkaribish katika semina hiyo.

No comments:

Post a Comment