Solly Mallangu Katika Tamasha la Krismasi 2013 Nchini Tanzania

2BMwimbaji wa muziki wa injili Solomon Mahlangu kutoka nchini Afrka Kusini akiimba jukwaani kwenye uwanja wa Taifa katika tamasha kubwa la Krismas lililofanyika jijini Dar es salaam likishirikisha waimbaji wengi kutoka nchi mbalimbali za afrika wakiwemo waimbaji wa Tanzania.3BWaimbaji wa mwimbaji Solly Mahlangu wakiimba jukwaani 4BMashabiki wakicheza staili ya saluti na mwimbaji Solly Mahlangu5BHakuna aliyekuwa amekalia kiti chake wakati mwimbaji huyo akiwa jukwaani akifanya vitu vyake.6BHapa ilikuwa kila mmoja akinyanyua kitambaa chake juujuu ili mradi burudani tu.7B16Mgeni rasmi Waziri wa nchi katika ofisi ya waziri mkuu Uratibu wa Sera na Bunge Mh. William Lukuvi akizungumza katika tamasha hilo na kuwashukuru waimbaji wa muziki wa injili kwa kuendelea kuhubiri amani nchini lakini pia akawahakikishia kwamba serikali kitahakikisha amani iliyopo inadumu, kulia ni mkurugenzi wa Msama Promotion Alex Msama na katikati ni Ezekiel Maige Mbunge wa jimbo la Msalala jijini Dar es salaam.14Mwimbaji Ephraim Sekereti akiwa na Living Waters akitumbuiza kwenye  uwanja wa Taifa wakati wa tamasha la Krismas linaloandaliwa na kampuni ya Msama Promotion ya jijini Dar es salaam 159Mwimbaji Rose Muhando akiimba na kucheza kwa hisia  mbele ya mashabiki wake1011Grolius Worship Team wakiimba jukwaani.12Mwimbaji Upendo Kirahiro1aaMwimbaji wa muziki wa injili Boni Mwaiteje 2aBoni Mwaiteje akionyesha uwezo wa kucheza na masteji shoo wake

Living Waters Kutoka makuti Kawe wakiwakilisha

No comments:

Post a Comment