Waziri Mkuu Mh. Pinda ahudhulia Jubilee ya Kanisa la Katoliki Jijini Arusha

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Maaskofu wa Kanisa Katoliki baada ya Ibada ya Jubilei ya miaka 50 ya  Kanisa Kuu  la jimbo la Arusha  iliyofanyika mjini Arusha jana Desemba 30,2013.
 (Picha na Ofisi ya Waziri  Mkuu)

                    Katika Jubilei hiyo ya miaka 50 ya  Kanisa Kuu  la jimbo la Arusha viongozi mbalimbali walikuwepo kuhudhilia akiwemo Waziri Mkuu Msaafu Edward Lowasa

No comments:

Post a Comment