Uko Hapa uzindizi wa Album

Masaa 24 yamebakia kuanza kwa tamasha la uzinduzi wa Album ya pili ya mwimbaji maarufu wa nyimbo za Injili John Lisu maandalizi yamekamilika kwa 90% akizungumza mwenye Lisu anasema maandalizi mpaka sasa ni mazuri kuanzia upande wa mazoezi na mambo mengine kilichobaki ni tukio lenyewe kuanza.

Katika uzinduzi huo utakaofanyika katika kanisa la CCC Upanga jirani na Chuo cha Mzumbe,kuanzia saa 8 mchana kwa kiingilio cha Tsh.5000 tu.

Akizungumzi tofauti kati ya album ya YEHOVA YU HAI na mpya inayozinduliwa kesho UKO HAPA amesema toauti ya upigaji vyombo umebadilika,ladha ya muziki wenye pia na ujumbe ulio katika nyimbo zenyewe,Maana biblia inasema Utukufu Hadi Utukufu kutoka album ya iliyopita hadi hii ya sasa UKO HAPA. 









Nelly Kaisi-Lisu mke wa John Lisu alikuwepo kufanikisha mazoezi hayo katika upigaji wa bass guitar







nm,,

No comments:

Post a Comment