Waimbaji wa Muziki wa Injili kutoka Nchi jirani kwa ajili ya Tamasha la Pasaka waanza kuingia Nchini


Mwimbaji wa nyimbo za injili, Solomon Mukubwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo kuhusu maandalizi yake katika tamasha la Pasaka 2013.


Mwimbaji wa nyimbo za injili, Faraja Ntaboba akiimba kwa hisia moja ya nyimbo zake mbele ya waandishi wa habari jijini Dar es Salaam
Mwenyekiti wa Kamati Maalumu inayoratibu Tamasha hilo la kimataifa, Alex Msama akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusu maandalizi ya tamasha hilo.

No comments:

Post a Comment