Christmas Production ndani ya VCCT ilivyo bamba...!!

Siku ya jana katika Kanisa la VCCT (Victory Christian Centre Terbenancle) Mbezi Beach kulifanyika Moja ya matamasha makubwa yanayochukua nafasi katika kufunga mwaka wa 2012 jijini Dar.

Limekuwa likijulikana kwa jina Christmas Production,  tukio hilo hufanyika kila tar 26 Disemba 2012, siku moja baada ya siku Mwokozi wetu Yesu Kristo alipozaliwa,Katika tukio hilo watu watu waliopata kufika walimsifu na kumwabudu Mungu kwa namna nisiyoweza elezeka,wakiongozwa na waimbaji mbalimbali waliokuwepo.

Katika  event hiyo Christmas Production kulikuwa na Rivers of Joy International, Glorious Celebration, Upendo Nkone, Upendo Kilahiro, Amani Isayah, Bomby Johnson, Samuel Yonah, President Chavala, Mc Pilipili, CASFETA Dar P & W team. 

 Mch. Dkt Huruma Nkone, Mchungaji Kiongozi VCCT
 Upendo Kilahiro
Mch Joyce Nkone
 Upendo Nkone
Rivers of Joy  junior wa VCCT
Upendo Kilahiro & Mpelo Kapama, Kiongozi wa Muziki na Uimbaji, VCCT

Mc & President  Chavala
Ilikuwa  fullshangwe
  Timothy Kyara na mkewe


Rivers Of Joy International katika Kumsifu Mungu
The Blogger...Papaa kama kawaida yake uwanja wa nyumbani
Glorious Celebration walikuwepo
 Upendo Nkone akiwa amezama!!
Ukumbi haukutosha. Na watoto nao hawakubaki nyumbani; walikuwepo.


No comments:

Post a Comment