TAMASHA kubwa la kwanza la kusifu na kuabudu kwa mwaka 2014 Lafana .

TAMASHA kubwa la kwanza la kusifu na kuabudu kwa mwaka 2014 Lafana .Tamasha hilo ambalo hufanyika kila jumapili ya mwisho mwezi lilifanyika jumapili iliyopita (26.01.2014) pale Dar es Salaam Pentecoste Church ( DPC) .
Lilijumuisha wasanii kadhaa wa nyimbo za injili akiwemo John Lisu na kwaya ya rivers of life ya DPC .

 Pata habari zaidi kwa njia ya picha .


Mc Boniface & Joyce M wa DPC : 
Picha kwa hisani ya  DPC na Worshipers family Tanzania




Sehemu ya kwaya ya Rivers of life wakiwa jukwaani .
Picha kwa hisani ya  DPC na Worshipers family Tanzania


Picha kwa hisani ya  DPC na Worshipers family Tanzania



  Picha kwa hisani ya  DPC na Worshipers family Tanzania



Picha kwa hisani ya  DPC na Worshipers family Tanzania


Imetayarishwa na Erasmus Augustine.

No comments:

Post a Comment