Mkesha wa Mwaka Mpya Dar Es Salaam Pentecostal Church( DPC), Matukio Katika Picha


Pastor Safari Paul akiongoza Kwaya ya Rivers of Life katika Mkesha huo

John Lisu

Dr. Onna

Bale

Rivers of Life ya DPC

Abel Majaliwa Mchungaji Kiongozi wa Dar Es Salaam Pentecostal Church akihubiri katika usiku huo wa mwaka mpya

Abel Majaliwa Mchungaji Kiongozi











Watu wakiombewa kuanza mwaka 2014 na Bwana kwa ushirika mzuri katika mkesha huo

Vijana walipata kuokoka katika Mkesha huo wa mwaka mpya


No comments:

Post a Comment