Scripture union kuzindua Jubilee ya miaka 50 kwa kishindo

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Scripture Union Tanzania, Bw.Chuwa (Katikati) akiwa  pamoja na baadhi ya watendakazi wa wakati huo

Jaji wa Mahakama ya Rufaa Engera Kileo akiongoza maombi ya shukurani kwa ajili ya uzinduzi wa kutimiza miaka 50 ya Scripture Union Tanzania

Jaji Mkuu Agustino Ramadhani ambaye alitoa Neno la shukurani kwa kuwa hata yeye ni mmoja wa washiriki wa umoja wa kujisomea Biblia,  (kulia) ni Askofu Philemon Tibanenason ambaye ndiye aliyehubiri kwenye uzinduzi huo.
Mwenyekiti wa Scripture Union Dk. Edda Wandwi (kushoto), Jaji Mkuu Agustino Ramadhani ambaye alikuwa mgeni rasmi katika uzinduzi huo, Askofu Philemon Tibanenason pamoja na Katibu Emaus Bndikile wa Scripture Union.


Uzinduzi huo ulikuwa wa tofauti sana kutokana na watu mashuhuli na wenye majina makubwa Tanzania kuhudhulia miaka 50 ya Umoja wa kujisomea Biblia (UKB)

No comments:

Post a Comment