Happybirthday Joyce Chalse,Mtangazaji wa Praise Power Radio asherekea siku ya kuzaliwa.

Mtangazaji wa Praise Power Radio afanya sherehe ya kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa kwa namna ya pekee,sherehe hiyo ilikuwa na kusifu na kuabudu tofauti na nyingine zinavyokuwa.
Mtangazaji huyo ambaye ni Joyce Chalse aliyejumuika na ndugu wa karibu,marafiki na wazazi katika kufanikisha siku hiyo,watangazaji mbalimbali wa Redio na Bloggers mbalimbali walikuwepo kumpa kampani Mtangazaji huyo na kufanikisha shughuli nzima!



Joyce Chalse akitoa Neno la Shukrani kwa wegeni waliofika.
Joyce Chalse akiwa na mumewe


Joyce Chalse akiwa na mume wake na mtoto wake wa kwanza kati ya wawili

President Chavalla katikati Mc Pilipili kwa pembeni mtangazaji wa Praise Power wakifungua
Shampaign

Vijana wa Apostle Ndegi baada ya kupiga kazi Living Waters ndio waliongoza sifa siku hiyo.

Mc Pilipili akiwa kazini kama kawaida yake

The Blogger Uncle Jimmy-unclejimmytemu.blogspot.com
The Blogger  Papa Sam Sasali bila kukosa -samsasali.blogspot.com

Living Waters wakiwa kwa stage wakifanya mambo yao.


Lisa na mwenzie  wakiwakilisha Praise Power Radio



Living Waters kutoka Makuti Kawe wakihudumu siku hiyo.

No comments:

Post a Comment