TAG Uchaguzi mkuu Dodoma katika picha

Uchaguzi Mkuu wa Kanisa la TAG kumchagua Askofu Mkuu na viongozi mbalimbali wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG) uliofanyika wiki iliyopita katika ukumbi wa Chimwaga Dodoma,haya ni baadhi ya matukio ya uchaguzi huo katika picha.
Baadhi ya viongozi wa Kanisa la Tanzania Assemblies of God walihudhulia uchaguzi huo uliofanyika katika ukumbi wa Chimwaga Dodoma.
Katika Uchaguzi huo  Dk. Barnabas Mtokambali ndiye aliyeapatikana mshindi kuwa Askofu mkuu wa TAG na upande wa katibu Mkuu Ron Swai ndiye aliye ibuka mshindi.

Askofu Dr. Mtokambali akifuta Machozi ya furaha baada ya ushindi huo.

Katibu Mkuu Ron Swai akitoa Neno la shukrani kwa wajumbe kwa kumchagua kuwa Katibu Mkuu wa Kanisa hilo.

Baadhi ya viongozi wa Kanisa la TAG walioudhulia uchaguzi huo wa kwanza kulia ni Askofu Mkuu wa Kwanza wa TAG Emmanuel Lazaro, Askofu Mkuu wa wapili wa TAG Ranwell Mwanisongole na Viongozi wengine.

Baadhi wa wajumbe wa uchaguzi huo wakimpongeza Askofu Dk. Barnabas Mtokambali

Wajumbe wa uchaguzi huo wakifurahia ushindi uliopatiaka

Wazee na Viongozi mbalimbali wa TAG wakiwaweka wakfu Dk. Barnabas Mtokambalina katibu Mkuu Ron Swai baada ya uchaguzi huo.


No comments:

Post a Comment