Studio ya Kisasa ya NIKO AMBAYE NIKO yazinduliwa Dar.

Studio ya Kisasa ya NIKO AMBAYE NIKO yazinduliwa Dar,tukio hilo ni la Kihostoria maana halijawahi kutokea kuwepo na studio kubwa kiasi hicho katika kuzalisha mziki wa Injili kwa ukanda huu wa Afrika Mashariki pia kazi za hapo ni nzuri zenye uwezo na  viwango vya juu zaidi,shughuli hiyo aliudhuliwa na Askofu wa Jimbo la Mashariki Kusini Dk. Lawrance Kametta akiwa pamoja na Makamu Askofu aliyemaliza muda wake,Rogathe Swai pia walipata mda kujaribu vifaa vya Studio Niko Ambaye Niko,ambapo Mkurugenzi ni Steve Wambura.Ambapo waliiweka wakfu studio  huyo tayari kwa kazi,pia kumwombea Steve Wambura kwa kumbandika Mikono kwa kazi hiyo.
 
Askofu wa Jimbo la Mashariki Kusini Dk. Lawrance Kametta akiwa pamoja na Makamu Askofu aliyemaliza muda wake, Rogathe Swai wakijaribu vifaa vya Studio Niko Ambaye Niko jana

Mkurugenzi Steve Wambura wa Studio ya Niko Ambaye Niko akiwa pamoja na Mgeni rasmi Dk. Lawrance Kameta na Makamu Askofu aliyemaliza muda wake, Rogathe Swai wakati wa uzinduzi wa studio hiyo.

 t
Mkurugenzi Steve Wambura wa Studio ya Niko Ambaye Niko akiweka wakfu studio hiyo

Mkurugenzi Steve Wambura wa Studio ya Niko Ambaye Niko akiombewa na Watumishi wa Mungu, (kushoto), Mchungaji Timbothy Wambura

Mkurugenzi Steve Wambura wa Studio ya Niko Ambaye Niko akitoa maelekezo kwa watumishi wa Mungu.

No comments:

Post a Comment