| Mchungaji Kongozi wa Kanisa la Word Alive Sinza na Mlezi wa Christian Bloggers Pastor Deo Labalaa |
| Pastor Daniel Msokwa akifundisha katika Ibada ya asubuhi siku ya pili ya Kongamano hilo |
| Pastor Isaac Mallonga akizungumza na vijana katika kongamano hilo na kuhitimisha siku ya jana. |
| Vijana walijitokeza kwa wingi kuhudhulia Kongamano hilo na kuondoka na hatua nyingine zaidi katika maisha yao kiroho. |
| Watumishi wa Mugu waliokuwepo siku ya jana katika Kongamano hiloPastor Rose Mushi,Pastor Calos na Pastor Deo Lubala |
| Praise and Worship Pastor Delicia akiwa na Door Keepers kutoka Tehillah |
| Door Keepers kutoka Tehillah |
![]() |
| Damian kwa stage akihudumu katika kongamano hilo |
| Mbeya Family walikuwepo kuwakilisha siku ya jana |
| Wadau walipata muda wa kujiachia kwaito kwa sana |
| Word Alive Praise and Worship Team wakihudumu wakiongozwa na Mage |
| Ilikuwa ni fullshangwe kwa wadau waliokuwepo |

No comments:
Post a Comment