![]() |
| Kikosi cha kutuliza ghasia wakiwa wanaimarisha usalama katika eneo la Mahakama ya Wilaya Mwanakwerekwe ambapo Viongozi wa Jumuiya ya UAMSHO walipelekwa kwenda kusomewa mashitaka yao. |
![]() |
|
|
![]() |
| Askari
wa kikosi cha kutuliza ghasiawakiangalia usalama mahakani hapo. |
![]() |
| Baadhi ya Wananchi walioenda Mahakamani hapo kwenda kushuhudia kesi inayowakabili Viongozi wa Jumuiya ya Uamsho ambao walikosa dhamana na kurudishwa Rumande. |






No comments:
Post a Comment